We jamaa c ulitoa post unaumwa miwasho, mm nikakushaur itakuani faungus nenda hospital Leo umesahau ndo nakuukiza unaendeleaje rafiki yangu brek ya kenge[emoji3]
Ningefanyaje mkuu na wakati jamaa Kama ananipenda huku anajifanya madam madam, namwambia nimemiss yy anasema Asante. We unaona iko sawa kweli ndugu yangu
Wakuu nilipata rafiki wa kiume, yeye ameoa na mimi nimeolewa ila familia zetu wote wapo mbali tumekutana mkoa mmoja, tukaanza urafiki mpaka ile stage ya kubebishana mara pika nije kula na kudekezana.
Nikaanza kuona hapa nikileta ujinga tutaingia kwenye mahusiano, na mtu mwenyewe jamaa...
Ni kweli wanakosa Ni wangefata Sheria wsngepelekwa police na wangelipa faini kuliko walivyo wafanya je ikitokea wamepoteza maisha na mtu ana familia inamtegemea. Ni kosa ndio he Ni halali kwao kuua na kudhuru mtu
Ndugu zangu JF habari za masiku mengi. Nina ndugu yangu amekuja kutafuta maisha Tanga nimempa bodaboda anaendesha na maisha yanaenda.
Leo jioni akanipigia kuna inshu nimsaidie, anasema kuna mpemba katoka zake zenji ana madungu ya mafuta anauzani mafuta ila anauza bei chei dungu elfu60 kwa moja...
Wakuu habar za weekend,
Ndugu yenu nimejichanga nataka na mimi nimiliki gari na hii ndo mara yangu ya kwanza kumiliki usafiri.
Nimeona kabla sijafanya maamuzi nije kwenu wakuu mnishauri mawili matatu, bajeti yangu ni m16 na gari niitakayo au niipendayo ni Nissan dualis, au Suzuki escudo...
Wakuu habari za majukumu,
Mimi ni muuzaji wa duka LA vipodozi, nahitaji msaada kwa anaejua maduka yanauza spray kwa bei rahisi nanpafyum maana ninazo uziwa naona kama ni ghari sna.
Nataka wanaouza spray kwa dazern au karton ila kwa bei nafuu. Naamin kuna wafanya bisahara wanaojua machimbo ya...
Mbona hayo mambo ya kawaida kabisa,
Tunashindana kujamba kwenye neti sembuse harufu ya toilet, hakuna kitu kizur kwenye mahusino kama kuzoeana na mpenzi wako au mume/mke yaan raha raha tu, hakuna kujibana bana.
Kuna siku Mr alingia toilet kumbe maji yamekatika, akajisaidia akaniambia nichotee...
Kabisaaa sasa hv asilimia kubwa wengi ni wakolofi zaman ukiuliza kitu, utasaidiwa mpaka unapewa connection lakin sasa hv ukipewa connection ujue umeibiwa hahaha
Wakuu habar za masiku. Mko poa, nimewamiss sna.
Twende kwenye point Je famii forom imekusaidia nn tangu uijue, ni ukweli usiopingika hakuna social network ambayo inapendwa na inayotizamwa na watu wengi kama JF.
Mm binafs kilichofanya nijiunge humu ni michango ya watu, kuna watu walikua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.