Mkuu unayesema "feki .." ebu niambie wamekosea wapi? Uhakika wa tukio umeambiwa 70%, kama tukio hapo kwako halijafika unaweza kuwa upo kwenye 30% (no event). Je, umechunguza maeneo yote yaliyotajwa ukajua hakuna mvua kubwa?
Inategea, hiyo % ya ufaulu imetolewa na nani. Kama mtoaji ni yule anayeaminika kuwa ni mwenye hila siku zote hiyo 14% inaweza kuwa ni dalili nzuri kwa ...
Umelipwa bei gani kwa utumbo huu??
Kama kweli kazi ya polisi ni kulinda amani, yule mtoto aliyetoka TUITION alikuwa wa chama gani?
Ni polisi wa aina gani anayelinda amani kwa kuua raia wasiyokuwa na bunduki?
Hii kauli ya "Mhe. Pinda alivyosema polisi wapige tu", wewe uliwahi kufuga mbwa halafu...
Kwani huko ambako siyo kwao ni nje ya Tanzania??
Au POLISI hawajui mipaka ya Tanzania???
Kwahiyo POLISI ndiyo waliyomuumiza. Ili wakiulizwa wanajitetea kuwa alikokuwa si kwake!! Nchi imekwisha!!!
Huo utaratibu wa kudahili wanafunzi waliopata daraja la sufuri umeanza lini? Na ni chuo kipi kinafanya hivyo?
Kama kipo chuo cha namna hiyo tumekwisha!!
Ivi ungebakia kimya tu si bado ungeonekana wa maana kuliko kuweka kitu ambacho hakipo?
Sina uhakika hao walimu wanao ngoja ajira zao wakikuona watakwambia nini!!!
Kwani ilikuwa lazima waislam wakanunue kwenye bucha za wakristo?? Kuna faida gani itapatikana kwa kuuana? Na kama kunathawabu kutoka kwa Mungu, ni Mungu yupi anayeruhusu watu kuuana eti kisa Mkristo au Muislam kachinja Ng'ombe?
Tuheshimu imani hata za wale ambao hawaamini imani aliyonayo mtu...
Huyo dada atapona "tamaa" za afande ...? Maana nakumbuka enzi hizo, afande akimtaka binti mzuri na akagomewa basi atampa adhabu za mara kwa mara akitarajia kuwa binti atabadili msimamo!
Ila wapo waliovumilia adhabu hizo na wakamaliza "salama" yaani bila kwenda "Mkokoa Guest House"
Hiyo deep analysis haitakufikisha unakotaka kwenda maana hao VODACOM watakuwa walianzia huko unakotaka kwenda ambako wamefunga na funguo wanazowahusika tu!
Hili swala la kuweka na Muda ni hatari sana!!
Kuna mtoto hapa mtaani kwetu juzi aliambiwa na wenzake kuwa majibu yametoka; kilichotokea alidondoka na kupoteza fahamu na alipofikishwa hospitali aligundulika kuwa ana tatizo la PRESSURE ya kushuka. Lakini hana historia ya ugonjwa huo.
Inelekea...
Ivi hawa jamaa siwalisharuhusiwa kuwa na Kadhi???
Sasa wazee wa Kiislam mahakamani wa nini ilhali wana Kadhi wao?
Hili sasa ni tatizo. Nadhani kuna kitu kingine kinapikwa nyuma ya pazia. Si waliweke wazi tu badala ya kupenyeza agenda na sheria zinazoonyesha udini?
Inaelekea kwenu fedha si tatizo ila ...
Kama unatafuta kazi ili upate angalau fedha za kukuweka "mjini" basi fedha hiyo ni nyingi na usiidharau maana kuna wengine wanaitafuta hata chini ya kiwango hicho lakini hawaipati.
Ushauri wako haujatulia kabisa!!! Unampa kazi ya kuingia na deza au kukaa karibu na kipanga, huoni kuwa atakuwa na kazi mbili: kumdangaya msimamizi kuwa hatizamii kwa mtu au "ku-copy na ku-paste" na kuandika mtihani ukizingatia kuwa muda haungoji mtu?
Mwambie asome na kuelewa ili mtihani...
Tafadhali sana, nakutahadhalisha sisi huwa hatufanyi hivyo!!!!!!!!!!!. Usichezee chakula cha wenzako. Kibaya zaidi hujachuna hata ngozi!! tania kaumbwa ...
Kaumbwa kenyewe kalikuwa kadogo mno tukaite ka-hotDOG
Hapa wa kulaamumiwa siyo baba ila msichana. Huyu msichana angekuwa muwazi kwa huyo baba kwamba yeye ni rafiki wa mwanaye asingefika hatua hiyo aliyofikia. Huyu msichana ana tabia mbaya tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.