Kinachosukuma watanzania kubeti 90% Ni umaskini Yani mtu anatarajia apate kitu kimtoe. Sasa unataka kuacha kubeti je umesha kuwa Tajiri? Kama hujawa bado kutakiwa na kitu Cha kukuvuta huko ujaribu bahati yako,😆
Kwanini usajili wa Simba HAUAMINIKI? Simba wanaweza kusajili wachezaji 7 lakini atakayeonesha kiwango Ni mmoja au hakuna hivi Hawa jamaa wanatumia mfumo gani kupata wachezaji?
Simba kjikite kwenye usajili wa ndani Kama walivyopatikana kina Mohamedi ibrahimu, kichuya, Mzamiru, n.k
Usajili ujao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.