Nimelia sana hadi machozi yameisha. Nimekuja kuamini kuwa Hamas ni magaidi na wanapaswa kuangamizwa, nimejitahidi kuulizia kama kuna connection kwenda kusaidia kuwaangamiza Hamas lakini nimekosa.
Naomba serikali itoe tamko kama Hamas ni magaidi au la! Maana naona nchi imetulia kama hamna...
Yaani lita moja kwenye rough road inatembea km 5 tu, je hii ni kawaida?
Pia ina tatizo la kuchelewa kubadili gia, natamani kuwapatia mafundi waicheck gear box ila wasiwasi wangu wasije wakaiua kabisa
Kidemu kifupi cheusi kina mapengo meno ya mbele kinaniambia bila afu tisini hakiwezi toka na mimi. Wakati huo nachati na pisi kali inaniambia tu tafuta kiwanja kizuri tukaenjoy.
Hapo ndio nimegundua dunia uwanja wa fujo.
Aina ya gari ninalotaka iwe noah old au rav 4 old, au suzuki Escudo.
Naomba kujua ipi inafaa kwenye rough road sana. Na ipi ni nzuri kati manual na automatic.
Baada ya mafuta kupanda bei mara dufu, nimeamua kuuza Brevis yangu kwa mil 6 kwani ilikuwa inakunywa sana mafuta.
Nimeamua ninunue pikipiki na chaguo langu ni Kinglion. Sina uzoefu sana na pikipiki japokuwa naweza kuendesha. Hivyo naomba wataalamu kesho naenda kununua mnielekeze mambo ya...
Habari wataalamu, naomba niende moja kwa moja kwenye swali langu.
Mwanzoni mwa mwezi wa saba wife akiwa na ujauzito wa miezi mitatu alianza kutoka damu ghafla na hatimae mimba ikatoka na wakampa dawa flani sikumbuki za kusafisha. Tatizo ni kuwa mpaka sasa hajableed takribani miezi mitatu kasoro...
NImekatwa miaka mingi hatimaye deni langu imebaki 15,000/= ndio ninayodaiwa. Nimeenda kuomba statement nilipe ili HR asitishe makato kwenye mshahara wangu sababu kwenye salary slip deni linasoma zaidi ya milioni 2 hivyo bila HR kutaarifiwa na bodi hawezi kusitisha makato.
Majibu niliyopewa ni...
Ndugu zangu nataka kuanza ufugaji wa ng'ombe wa maziwa. Nimechagua jukwaa hili kama sehemu ya kupata maujuzi. Naomba kujuzwa juu ya Gharama, Faida, Changamoto nk
Baada ya likizo ya corona kuishi na shule kufunguliwa nimesikia vilio na malalamiko ya wazazi wakilalamia kuwa hawana fedha za kuwalipia watoto wao. Binafsi nina watoto wadogo watatu, wa kwanza miaka 4 wapili miaka 2 na watatu miezi 2. Binafsi nimejifunza kuwa hawa watoto huko mbeleni...
Wanawake Punguzeni kula chakula bila mpangilio na fanyeni mazoezi. Mtalalamika kutoolewa na una mwili kama pipa na hela huna. Angalau ungekuwa na hela ungevipata hivi vimarioo vya Dar. Badilikeni basi sisi wanaume wenye hela we are after shape, bila shape utatongoza wanaume...
Sent using Jamii...
Hii ni barabara inayounganisha mkoa wa Mbeya na Njombe kupitia kwenye hifadhi ya Kitulo - Mbeya - Makete -Njombe.
Biashara ya viazi na utalii imesimama kabisa. Naomba kujua sehemu ya kupeleka hiyo picha ili nibaki salama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikukuta umetulia zako garden, nikasogea nakupiga story kidogo na haraka nikabaini wewe ni mjamzito.. Aisee nina mzuka sana na wajawazito ..nikashindwa kujizuia dushe likaanza kuwaka motoo.. Nikakushawishi tutembee kidogo lengo nikuelekeze maeneo yenye lodge .. Kiroho saafi ukakubali ukionesha...
Nimekuwa wakala wa M-Pesa, Tigopesa nk kwa zaidi ya miaka 5. Tatizo ni kuwa till yangu ya M-Pesa inatumia jina la mtu mwingine na hii umekuwa ikiniingizia zaidi ya laki nne kila mwezi.
Tatizo ni hili zoezi la usajili wa alama za vidole. Namba za NIDA ninazo tatizo ni kupata leseni nimeenda TRA...
1. Bahati mbaya ukifumaniwa usije kukiri kosa.. Kataa hadi chozi litoke.
2. Haya ni baadhi ya majina unayoweza kuwasave michepuko.
Vodacom ofa
Tigojirushe
Instamoja
Sportpesa nk
Hizo sms hata akishika simu yako hawezi hangaika kuzisoma
Naomba tupeane mbinu zaidi..
Sent using Jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.