Jinsi mimi ninavyopata faida ya 45,000 kwa siku.
Kwasasa nina pikipiki aina ya Fekon na Huoniao jumla zote zipo 15 mtaani kwa mkataba wa miezi 12. Nilianza na mtaji wa 8,300,000/= mwaka Jana November 2021 ambao ulinisaidia kununua pikipiki 3 mpya aina ya Fekon na baada ya hapo nikawa naongeza...
Ndugu wataalamu nimeambatanisha baadhi ya michoro mbalimbali ya nyumba/vyumba vya kupanga. Naomba Kwa mtaalamu yoyote aliye na sample zaidi za Floor plan ya nyumba au vyumba vya kupangisha atusaidie tutani. Ili tuongeze ujuzi na ubunifu katika ujenzi Wa nyumba/vyumba vyetu.
Nahitaji kufahamu...
Tupo Mbezi ya kimara.
TUNAFUA NGUO za maharusi
Suti
Jeans
Nguo za kawaida
Pamoja na mapazia Aina zote.
Tunakausha na kuonyoosha vuzuri(pasi)
Pata huduma nzuri .
Karibu Sana mshtue na mwingine
Usijichoshe Sana sisi tupo.
Habari nahitaji eneo dogo la ujenzi, maeneo ya makabe njia panda maeneo hayo hata kama unaingia kidogo siyo mbaya.
Sihitaji dalali,budget Milion4 charp
No yangu 06521326
Mimi Ni mama Lishe, niambie au nishauri,unachopenda kula au ukikute sehemu yangu ya biashara pindi unapohitaji kifungua kinywa au chakula chako Cha mchana unapokuja,ili ufurahie huduma yangu kesho urudi Tena,naomba uwe muwazi ,...karibu Sana nipo nyuma ya Boch hosp mbezi msuguri.. 0652132665.
NECTA wameandika matokeo ya Kidato cha nne na Upimaji wa kidato cha cha Pili na Darasa la Nne 2021, yatatangazwa hivi punde kaa tayari ndio mida hii.
All the best Comrades, see you at the top.
===
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka...
Anahitajika Mwalimu kwa ajili ya kufundisha Advanced level, somo la Advanced Mathematics. Mwalimu anahitajika kuwa na Bachelor/Degree na awe na GPA above 3.0.
Mwalimu awe na angalau Mwaka Mmoja wa uzoefu wa kufundisha somo husika (1 year), na awe na ufaulu wa kuanzia grade "C" kwa Advanced...
1. Tuite tukupikie kwenye shughuli yako kubwa ndogo, tunakuja popote hata mikoani tupo Dar.
2. Unaweza kununua vyakula vyako tukaja kupika tu.
3. Pia tutaweza kukukadiria vitu vya kununua kulingana na idadi ya wageni wako ,kwa gharama ndogo, iwapo tutakuhudumia ni bure kabisa.
4. Hata...
Leo vijana wetu wa kidato cha Nne wamefanya mtihani wao wa tatu kwa mujibu wa ratiba yao ya mitihani. Asubuhi saa 2 asubuhi vijana wote Tanzania walianza kupambana kupata tiketi ya ufaulu wa somo pendwa la Hesabu (Basic Mathematics)
Wanafunzi wengi hawakufahamu kama wataruhusiwa kutumia...
Anahitajika Mwalimu kwa ajili ya kufundisha Ordinary level. Mwalimu anahitajika kuwa na Bachelor Degree of Arts with Education (Geography).
Experience mwalimu awe na angalau Mwaka Mmoja (1 year's) katika kufundisha somo husika (Geography and Civics).
Shule ipo mkoa wa Tanga wilaya ya Muheza...
Anahitajika mwalimu kwa ajili ya kufundisha Ordinary level (form one to form four). Mwalimu anahitajika kuwa na Bachelor Degree of arts with Education (History).
Experience awe na angalau miaka miwili (2 year's) katika kufundisha somo husika (History).
Deadline: 08/07/2020
Imepita miaka takribani 12 sasa, tangia Tanzania ilipapata kumshuhudia mwanafunzi aliyeshindikana katika maswala ya Elimu hapa namzungumzia,Tanzania One (2006) Elias Kihombo katika matokeo ya Kidato cha Sita mwaka 2006 akitokea shule ya sekondari Tosamaganga wengi wanapenda kuiita Tosa Boy's...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.