Kuna mtu nilishangaa alikuwa analipwa mshahara Wa zaidi ya 800k kama take home lakini alivyopata chance ya kwenda CCP (degree) hakujiuliza mara mbili aliacha kazi akaemda kupiga kozi ya miezi 12.
Kila mtu ana malengo yake ktk maisha so tubaki kuangalia tu na kutokukata tamaa maishani. Sisi...
Miezi 12 utaona ni mingi ila Kwa mtu anayeenda kufanya usaili lazma ajue hili. Ni heri kupoteza mwaka mmoja Kwa kupata msosi, Hela ya kujikimu (100k), pa kulala Bure kuliko kukaa mtaani Bure bila kazi yyote.
Kumbuka baada ya shida hizi na huduma zote kupewa Bure, baada ya miezi 12 unaingia...
Degree walikuwa more than 1,000 kwenye usaili ila wamechukua 57 tu pekee.
I hope Kuna simu zitaita Kwa ambao hawajapata nafasi kwasasa (second selection kama mwaka Huu April & May 2023 walienda intake 2) Ili kukava nafasi za wale ambao hawatoripoti CCP au kukosa vigezo au afya etc.
Makamanda...
Duh mkuu jifunze kuappreciate kazi za watu, ume copy na kupaste kwangu.
Huu Uzi upo hapa hapa Jamiiforum ni ya Miaka 3 sasa imepita Nimeandika.
Uwe unaedit basi hata kidogo.
Leo ndio Ilikuwa siku ya mwisho kuripoti kambini CCP, so kuanzia kesho wataanza kuangalia mchakato Wa kujaza nafasi za ambao hawajafika CCP pamoja na reserve tajwa.
Pikipiki used zinapatikana maeneo uliyopo, ukitaka Pikipiki USED kirahisi nenda sehemu yoyote ya Gereji hzii sehemu wanazouza spare za Pikipiki hapohapo ukiuliza mtu anayeuza Pikipiki used Utapata wengi tu.
Au fanya kwenda sehemu za vijiwe wanapopaki Pikipiki uliza Kwa mdau yoyote atakwambia...
Kuna kitu hapa watu wanashindwa kuelewa Sina mtaji Wa 34.5 Millions, nimesema nilianza na mtaji Wa 9 Millions Kwa kuanza na Pikipiki 4 tu mpka kufika sasa zipo zaidi ya Pikipiki 15.
Mtaji wangu ni 9 Millions + 30% ya Mshahara wangu Kila mwezi mpka kufika hatua hii Kwa muda wa miezi 13 mpka Leo...
Kuna kitu hapa watu wanashindwa kuelewa Sina mtaji Wa 34.5 Millions, nimesema nilianza na mtaji Wa 9 Millions Kwa kuanza na Pikipiki 4 tu mpka kufika sasa zipo zaidi ya Pikipiki 15.
Mtaji wangu ni 9 Millions + 30% ya Mshahara wangu Kila mwezi mpka kufika hatua hii Kwa muda wa miezi 13 mpka Leo...
Kama ni bajaji ni wazo zuri kama REJESHO La boss ni 20K per day basi within 2 years utarejesha hesabu ya 14M ila sasa anayekupa lazima ajiridhishe na unapokaa na Makazi yako pamoja na Wadhamini wako wawepo eneo husika.
Kama upo Dar unaweza ukatoboa Kwa hesabu hizi, ila sasa title ya Uzi wako...
Tafuta watu Wa hukohuko Kimara watakuunganisha na watu wanaotoa bajaji au Pikipiki Kwa mkataba. Sio rahisi mtu hakufahamu halafu akakupa Mkataba, wengi wanatoa Mkataba baada ya kujiridhisha Kwa Mwenyekiti wa Kijiji/mtaa akutambue na lazima na yeye awepo eneo husika iwe rahisi kufatilia baadhi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.