Kupitia ukaunti yake rasmi, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amenena haya kuhusu watu wanaofanya mzaha wa matumizi ya vidonge vya kuzuia mimba aina ya P2.
Inaweza kuonekana ni utani lakini huu ndio ukweli hasa kwa baadhi ya watoto wetu wa kike walio shuleni.
P2 ni dawa ya kuzuia mimba...
Habari za jioni Wakuu.
Kama mada inavyosema hapo juu naomba msaada wa jambo langu hili.
Katika mizunguko ya kazi leo nimelikuta hili. Kuna compressor moja imetengenezwa sasa baada ya kutengenezwa ikachergiwa na kuwekwa na oil kabisa.
Sasa wakati inatembea baada mja mchache inakua overheating...
Habar zenu wanajamii leo nimeona nilete hili jambo kwenu nyinyi kwasababu limekua likijitokeza sana kwenye utaftaji wa rizki katika shughli zetu,Kwanin sisi kama watanzania hatuwi pamoja katika shughli zetu za kikazi kwasababu nilichokiona huku kwetu sehem nlokua nikifanya kazi nilifukuzwa kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.