Habari ya wakati huu ndugu wana JF,
Mimi kama ilivyo wazazi wengine wanaowajibika kwa watoto wao hasa zaidi kahusu mustkabadhi wa maisha yao ya kesho; nimefkiri kwa kina juu ya elimu tunayopewa ktk shule zetu (Tanzania), iwe zilizo chini ya serikal au binafsi fprivate) na nikaona nije na huu...
Habari ya wakati huu ndugu zungu wana JF?
Hongereni kwa kubeba majukumu yenu ya kutwa nzima lakin pia poleni kwa mizigo mzito sana inayozidisha msoto hapa duniani.
Ndugu zangu baada ya kusikiliza bajeti iliyosomwa jana, kufuatilia matukio ya uvunjifu wa haki za dinadamu huko ngorongoro...
Wadau, naomba kujua sheria inasemaje juu ya mwajiri private (kampuni) ambapo mwajiriwa (wafanyakaz wote kwa ujumla hawana mikataba ya kaz) hajapewa mkataba na amefanya kaz zaid ya miaka 3.....+ overtime bila malipo yyte....wakat huo huo kikipotea chochote hata daftar mfanyakaz...
Habar ya wakat huu wana JF?
Mimi ni kijana mjasiriamali, elimu yangu ni juu (kibongo bongo) ngaz ya shahada (degree).
Tang nikiwa mdgo nimekuwa na hamasa/kuvutiwa xana na mambo ya kisanaa hasa uchoraji na ugizaji kwa upande wa uchoraji nimefanya sana nikiwa shule za msingi na sekondari kidgo...
Habar ya wakat huu ndugu zang wana JF?
Mimi ni kijana chin ya miaka ya miaka 35, Elimu yang ni ngaz ya kat na juu (diploma + degree), nimejiajiri, mchaga.
Nilipokuwa bado ktk masomo yang ya ngaz ya kat na juu, niliingia kwenye mahusiano na binti mmoja aliyekuwa nyuma yang kdgo ktk ngaz ya...
Habar ndugu zang wana JF,
Naomba msaada wa kitaalam kuhusu chongamoto iliyotokea kwnye simu yang aina ya Samsung S7 edge.
Ni kwamba ilitokea tu siku moja, nikijarib kupga picha Camera haifunguki, inaniandkia CAMERA FAILED kila nikijarb kuitumia, pia TORCH nikitaka kuitumia feedback ni kwamba...
Habari za wakati huu wana JF wote....Nawatakieni kheri ktk mwaka huu mpya.
Kama kichwa cha uzi huu unavyodokeza,...Mimi ni mzazi ss wa mtoto mmoja, umri 31, pia kielimu niko na diploma + Degree ya Mipango.....nimejaribu kujitambulisha kwa kias ili kuweka msing ktk mjadala wa maada hii...
Habar ya wakat huu ndugu wadau wa JF na jukwaa la ujenzi.
Nipo kwnye mchakato wa kujenga nyumba/ viappartments vya kupangisha hvyo nimeonelea nije hapa jukwaani kwa kuwa naamini kuna fursa ya kupata design mbalimbal za raman ya nyumba HASA HASA apartments za chumba self, sebule na baraza, pia...
Kama kichwa cha mada kinavyeleza, wadau naomba kujua ukwel kwa kina kuhusu huu uvumi kuwa energy drinks zinamalza nguvu za kiume au vinginevyo mana nimekuwa nikinywa karb kilasiku...
Habari ya wakati huu wana Jf....!??...
Niende moja kwa moja katika mada hii husika na kichwa habari hapo juu...
Nipo katika mpango wa kufuga kuku kibiashara, hivyo naomba ushauri juu ya ni aina gani ya Kuku (chotara, kisasa au kienyeji)... Mana nimewaza wa kisasa lakini wale kuku nduguuu...
Habar za kwenu wana JF.
Naomba kujua kuhusu biashara hizi duka la spea za pikipiki, vifaa vya bomba au vifaa vya ujenzi (hardware) uzuri, ubaya, faida, hasara na mtaji wa biashara hizi.
Hello wadau wa JF doctor, natumaini mu bukheri wa afya. Naomba msaada wa maelezo na suluhisho kitaalam juu ya jambo hili.
Jambo lenyewe kuna wakat huwa nikikutana na wife au hata mchepuko, nikikojoa {ejaculation} ndani huwa nalalamikiwa kuwa anahisi (wife/mchepu) spam(manii) zinamchoma kias...
Habar ya wakati huu wadau wa Jf na segment hii ya DOCTOR........naomba kuelimishwa juu ya hili:
Kwa kipindi cha miez mitatu ss nimekuwa na kazi nyingi sana kiasi kwamba muda wangu wa kulala umekuwa mchache sana kwa usiku hata mchana (muda wa kaz), nimejikuta hata nakosa hamu ya tendo la ndoa na...
Habari ya wakati huu wadau wa afya jukwaa, naomba kujuzwa pia kushauriwa juu la hili tatizo,
Mke wangu ikotokea ana mawazo au stress sana akitulia sehem moja hususan kalala huanza kugeuza shingo kulia na kushoto mara povu mdomoni na kukoroma huku akirusha mikono na miguu huku na kule akiwa...
Habar wana JF..... Nahitaji gari aina ya Suzuk Carry almaarufu kama kirikuu used....lakin kiwa na hali nzur..... No repeir repeir..... Nipo Kilimanjaro....
Whatsapp namba 0718321418....
Njoo na bei yako....... Inbox
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa kinavyoeleza,
Mimi ni mjasiriamali mdogo, Nataka kuanzisha biashara hvyo nahitaj friji la mtumba {mtumba wa nje ndiyo bora zaidi} kwa ajili ya kufanya biashara.
Lisiwe limechonolewa na mafundi, Lifanye kaz 100%
Picha na being nitumie PM au
Whatsapp namba 0718321418
Habari ya wakati huu wana JF?!
Niende straight kwenye mada kama nilivyoitambulisha hapo juu. Leo nikiwa dukani baada ya kuhudumia wateja kadhaa. Nilitoka kidogo nikafunga gril la kuingia dukani lakini milango ya get ikiwa wazi. Nje kuna mdada (dada lishe). Kabla sijatoka kati ya wateja...
Habar wadau,!!? Nahitaji friji kubwa kias lenye milango ya vioo kwa bei nafuu.....
Napatkana Moshi~Njia panda.....0718321418 kwa Whatsapp,call au sms.....
Habari wana JF!!..... kama title inavyojieleza, nimepata gari aina ya Pajero (old) naomba kujua kama spear zake bado zipo, pia uzur na ubaya wake.............karibu wajuvi wa mambo ya magar
Natanguliza shukrani......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.