Hahah nami nilipangiwa shule sijui inaitwa ifakara girls iko ndani ndani huko.
Siku ya shamba nasikia jina langu lilusimwa nipangiwr mistari yangu ya kulima
Ila watu husema wasiyoyajua. Juzi niliona uzi twitter ukitoa sababu za tren kuhujumiwa. I laughed hard. Ni kwasababu hakujua kama kichwa cha treni ndo sababu ya kuchelewa na kilikuwepo bandarini tayari ila kuclear ndo ilikua bado. Sameways na watu walipokua wakinanga escape from sobibo. Tatizo...
Na maduka ya sinza, knyama, kino, survey na makumbusho kuna wadada ni wameweka viofisi vyao kwaajili ya kudangia hasa kwaajili ya jioni wazee wanapotoka makazini wakipita njia basi na wadangaji wanajianika huko nje ya viduka na frem zao
Ila jamani kuna mambo yanaumiza. Hivi inakuaje maakaa ni yetu lakini wakenya ndo wanayauza? Hizi lorry za Maulid Swai ndo zinapakiaga sana kupitia boda ya tarakea. Ni nyingi mno. Yaani kwamba sisi tulishindwa kbs kwenda kylutafuta tenda? Hivi kwamfano tukiwagomea kuwauzia hao jamaa utakuaje...
Kawe pamezidi. Vijana wamekua wa hovyo sana. Mbali na kwamba kanali alikosa busar naomba usafi ufanyike. Pasafishike. Matukio mabaya na maovu mengi sana yanatendeka usiku kwa mchana
Aaah wapi. Hana mapenzi yoyote yale. Zaidi tu anatamani sana atufunge ili aongee na kutugambia. Anapaniaga sana mwishowe anagongwa. Siku akatufunga itakua taabu sana
Binafsi i dont encourage pombe. Na siipendi. Inaumiza sana
Mtu akipata pesa tu anawaza kutengeneza kitu kitakachompatia pesa yeye na hajali afya za wenzake.
Mkuu, sijawahi ona watu wanali wakiwa safarini na msiba. Huwa kuna maeneo nyeti watu hulia kama wamuinapo marehemu, wakiwa wanaaga ama ile wanaingia nyumbani na marehemu. Kwenye magari watu wanKulaga gambe tu.
Nilicommwnt tena jioni ya saa 10.amefanya jambo jema kuifuta. Uchonganishi wa kimama tu. Akifukuzwa kazi ndo watajisikia raha? Huyo mtoa taarifa ana umama sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.