Search results

  1. Affet

    Ujasiri wa wanawake kupima UKIMWI huwa unatokea wapi?

    Habari zenu, mimi ni kijana mwenzenu msomaji mzuri sana humu ila si muanzishaji sana wa nyuzi kuna jambo kidogo huwa linanitatiza wanawake niliowahi kuwa nao wengi huwa na mambo mengi yaani hawajatulia ila sasa kinachonishangaza linapofika suala la kupima. Mimi ninayejifanya mtulivu ndie muoga...
  2. Affet

    Yanga bila Tshishimbi tatizo kubwa mbele ya Simba

    Mimi ni mpenzi kindakindaki wa Yanga nimefuatilia mara kadhaa tukicheza bila Papy tunavyohaha kupata matokeo. Yanga inatulia sana ikiwa na Tshishimbi; dimba la chini akina Makame, Fey na wengineo. Sita yao sijui wanachezaje, timu haipush kabisa kwenda juu kwa mtu unayeangalia mpira kiufundi...
  3. Affet

    Zulia linauzwa

    Habari ya mchana wadau nina zulia futi 10 kwa 10 naliuza tsh 200,000 mazungumzo yapo lipo katika hali nzuri tu nimehamia nyumba yenye tiles naona bora nilisukume tu nishavurugwa location Dar es Salaam mawasiliano 0788150477 na 0653794662 karibuni sana!
  4. Affet

    Nderagije anatuhujumu

    Tangu mpira unaanza mashambulizi yote yanapitia upande wa kulia Haruna Shamte kachoka tangu dk ya kwanza hawezi kabisa hii game kwenye benchi kuna Kessy hataki kumuingiza hii mikocha ya kigeni sio muda wote matola tu ndie anahaha kusimama yy katulia tu!
  5. Affet

    Nauza mashine ya selcom

    Nina mashine ya selcom ipo tu ndani baada ya kufunga kiofisi changu cha tgo pesa bdo mpya tu kwa anaehitaji mawasiliano 0716686118 na 0692928928 naiuza 450,000
  6. Affet

    Nauza mashine ya selcom

    Nina mashine ya selcom mpya kabisa nilikuwa na kiofisi cha tgo pesa mtaji umeyumba nimefunga ofisi mashine ipo tu naiuza 450,000 kwa anaehitaji mawasiliano 0716686118 na 0692928928
  7. Affet

    Nauza vifaa vya car wash

    Habari bandugu,nina car washer naiuza 600,000,blower naiuza 250,000 na compressor ya lita 50 naiuza 300,000 nilikuwa na car wash sehemu baada ya kuletewa mazonge na wafanyakazi nikaifunga vifaa vipo tu ndani kwa maswali zaidi na anaehitaji tuwasiliane 0716 686118 na 0692928928
  8. Affet

    Nauza vifaa vya car wash

    Habari bandugu,nina car washer naiuza 600,000 ,blower naiuza 250,000 na compressor ya lita 50 naiuza 300,000 nilikuwa na car wash sehemu baada ya kuletewa mazonge na wafanyakazi nikaifunga vifaa vipo tu ndani kwa maswali zaidi na anaehitaji tuwasiliane 0716 686118 0692 928 928
Back
Top Bottom