watu waliohama ccm kuja cdm kwa kuenguliwa au kuangushwa kwenye kura za maoni sina imani nao, mfano slaa na shibuda wanafanana kila kitu, slaa anakua mkali kwa ccm kambi anayoinyea kwa hasira za kuenguliwa kuwa mgombea, shibuda anakua mkali kwa sababu hizhizo, kamati kuu iwahoji uwezo wao wa...
Kweli ff nilijua wasio mjua huyu padre aliyekimbia utawa kuwa ni muzushi, watamwamini hadi mwisho wake wa maisha, kumbe kawafukuza mioyoni mwao haraka, kama mzee makamba alikuwa gamba basi cdm kuna gwanda lililopauka ni slaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.