Majibu umeshayapata kiutaratibu utakapo potelewa na kitu chochote nenda polisi katoe taarifa watakupa loss report, baada ya hapo nenda kwenye ofisi za mtandao husika wataiblock na kuswap lain yako na kuendelea na mawasiliano kwa namba yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi naona huwa na mamlaka makubwa kuliko mkuu wa mkoa,hata mapokezi anandaa mkuu wa mkoa na baadae kuwaachia wakuu wa wilaya zake, ila ninajiuliza baada ya mbio kwisha huwa wanaandaliwa kushika nyazifa gani kubwa au huwa wanaachwa tu?.
Hali halisi kwa mwaka huu maeneo meng yamekumbwa na ukame kama meoneo kanda ya kat, hivyo kuna uhaba wa chakula hali iliyopelekea bei ya mahind kupanda,kwa ufupi kuna njaaa.
Chama huru sio kama kwenda kununua nyanya kariakoo, kama huna jina mchakato unachukua miaka, sasa wew mwezi wa sita ulikuwa anahitaji kujiunga na leo tayar ni mwanachama, fanya kazi kijana punguza stress.
Kwenye hii ajari watu wawili mke na mume walibanwa na walishindikana kuokolewa hivyo nao wameungua sijui kama alikuwa ndo dereva wa hio gar, ila nijuavyo madereva inapotokea ajar ikiwa na uwezo wa kujitambua huwa na na nguv za ajabu za kujinasua na kukimbia kwa dk 15 ni nying angeweza kweli...
Dunia ina mambo, hapa nilipo kuna wafanyabiashara wanatuhumiana uchawi, mmoja amekamata misukule ya mwenzie waliotaka kumuwangia sijui kumuibia kwaio anadai alipwe mamilioni ya pesa awachie vinginevyo atawatupa baharini sas jamaa anadai apunguziwe na alipe kidogokidog
Litora haina tofauti na majimaji,zote zimezunguukwa na hifadhi, japo hifadhi kamili ipo umbali kl 30 kutoka kijijini na hawa wanyama huwa wanakuja kwa nadra sana mfano simba alionekana miaka 5 iliyopita mpaka sasa kimya ila tembo ndio wametia fora wameamua kuishi humuhum hawataki kutoka.
Wenyewe wanakwambia sio tembo wa sasa zamani walikuwa wanawaswaga kwa kengere au tochi lakini wa sasa wanapita kwenye majumba hata kama yana taa za umeme
Habarini wadau;
Katika kijiji cha Majimaji wilaya ya Tunduru Mkoa wa Ruvuma kimevamiwa na tembo wengi wanao kadiriwa kuwa arobaini ambao kwa sasa wamekuwa sehemu wakazi wa kijiji hicho kwa takribani miezi mitano mfulululizo bila kutolewa kurudi katika hifadhi yao ya asili ya selous.
Tembo hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.