Umejaribu kutaka kueleza kitu ila umeshindwa kueleza nini ulitaka watu wajue kwa maelezo yako umeshindwa kuonyesha nani mkosa kati ya seif na hamad rashid
Kama wanajua wako sahihi mbona wanamzuia mnyika kutoa hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu pinda alikuwa zamani sio sasa kashaonja upepo wa feli basi ahaaa watu tufe tu yeye hana habari eti wanamwita mtoto wa mkulima nani kasema ccm waote mafisadi tu na ukiingia kama we sio fisadi...
Issue hapo si Jairo pekee kuanzia juu mpaka chini waondoke madarakani jairo angetoa wapi ujasiri kama hayuko pamoja na waziri wake na waziri hasingeacha upupu uwepo kwenye wizara yake kama hayuko pamoja na mkuu wao wote tumewachoka watuiachie nchi yetu jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.