Kwa yeyote yule anayeifahamu shule ya st. JUDE Arusha kazi zake za kuajiliwa au kujitolea ni lazima uchangie kwa sisi Watanzania maana nimekuana na kazi katika kujaza form nikakutana na kipengele kinaeleza kuchangia
plz plz anayejua msaada wadau
Kwa yeyote yule anayeifahamu shule ya St. Jude Arusha kazi zake za kuajiriwa au kujitolea ni lazima uchangie kwa sisi Watanzania
Nimekutana na kazi katika kujaza form nikakutana na kipengele kinaeleza kuchangia
Tafadhali anayejua msaada wadau
habari zenu
nna shida kama tatu iv msaada plz
1.kwenye ajira portal ukiwa unajaza detail zako unaweka vyeti ambavyo vimepita kwa mawakili au unaweka copy ya original ila wakati wa kutuma ndo unaweka vilivyo pitia kwa wakili?
2.barua iliyo sainiwa unasaini vip?
ni hayo tu msaada jamani
hope mu wazima wadau.... natafuta kazi jamani nimehitimu bachelor ya mipango kazi na maendeleo ya jamii nna ujuzi wa mwaka mmoja kufanya kazi na jamii kama awareness raising research pia nna ujuzi wa stationary office nisaidieni jamani angalau nisogee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.