hii ni charity organization so kunawatu kutoka mataifa mbalimbali kama fundrising iv so sijaua kama na kwa watanzania iyo kitu ipo ndo maana nilikuwa namtaka mtu aliyewahi kufanya kazi hapo
Kwa yeyote yule anayeifahamu shule ya st. JUDE Arusha kazi zake za kuajiliwa au kujitolea ni lazima uchangie kwa sisi Watanzania maana nimekuana na kazi katika kujaza form nikakutana na kipengele kinaeleza kuchangia
plz plz anayejua msaada wadau
Kwa yeyote yule anayeifahamu shule ya St. Jude Arusha kazi zake za kuajiriwa au kujitolea ni lazima uchangie kwa sisi Watanzania
Nimekutana na kazi katika kujaza form nikakutana na kipengele kinaeleza kuchangia
Tafadhali anayejua msaada wadau
habari zenu
nna shida kama tatu iv msaada plz
1.kwenye ajira portal ukiwa unajaza detail zako unaweka vyeti ambavyo vimepita kwa mawakili au unaweka copy ya original ila wakati wa kutuma ndo unaweka vilivyo pitia kwa wakili?
2.barua iliyo sainiwa unasaini vip?
ni hayo tu msaada jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.