Search results

  1. M

    Tume ya ajira na sharti la kuthibitisha vyeti kwa mawakili na mahakimu

    Siwashangai vijana! Kwani mmekariri toka shule za msingi hadi vyuo vikuu!!!
  2. M

    Uwiano wa nafasi za kazi na watu wakufanyiwa usaili.

    Kwa HRM aliyekwenda shule ya Human resource anajua idadi ipi a-shortlist kulingana na nafasi zilizopo! Tatizo wengi wao wakikwambia program walizosoma utacheka, kwamba kwa nini yuko pale!! Kwanza anaharibu resource za kampuni bila msingi, ikiwemo muda, pesa coz hao watu wanalipwa,na muda huo...
  3. M

    Jairo apokewa kwa mbwembe wizarani, aelekea Ikulu na Ngeleja

    Hivi ni kweli Wafanyakazi wa ofisi ya Mr Jairo walionesha furaha kutoka moyoni au ni unafiki na kutetea kibarua ili bosi huyu asiwaone wabaya?. Nawakilisha!
  4. M

    Vyuo hua vina matter katika kuajiri?

    Kijana, usibabaishwe na hao wenye mawazo mafupi wanaotaka Tanzania iendelee kuwa na vyuo vikuu 3. Kamua kitabu chuo chochote ili mradi TCU wanakitambua. Tumewaona wengi sana wanaotoka kwenye hivyo vinavyo abudiwa, wakati wa interview ni matatizo matupu. English ya kuunga, kilichoko kichwani...
  5. M

    Wabunge wa ccm wanapwaya kwenye bunge la vyama vingi

    Hoja watazitoa wapi, wakati walio wengi wameingia kwa sababu ya pesa walizonazo na sio uwezo wa kufikiri walio nao? Nakubaliana na anayesema dawa tunayo sisi wapiga kura! Sasa kazi kubwa ni jinsi gani ya kuwaelewesha watanzania wanaodanganywa kwa vizawadi vya kilo za nyama wakati wa uchaguzi!!!!!
Back
Top Bottom