Habarini ndugu zangu,
Ninaomba kusaidiwa kutuma sms nyingi sana bila kuonesha namba yangu, ikiwezekana litokee jina tu nitakalolipenda.
Natanguliza shukrani kwenu.
Natanguliza shukrani kwenu wakubwa ,pc yangu kila nikisave documents kwa Microsoft word or PDF baada ya muda fulani huwa 0kb yaani sawa na hamna documents tena.naomba kusaidiwa shida ni nini? Na je natatuaje tatizo hilo?
Ndugu naomba kujuzwa nini kinasababisha kuonekana kwa makundi hayo kwenye ukurasa wangu wa facebook ikiwa ni picha za ngono na lugha ambazo hazieleweki
Naomba kusaidiwa namna ya kuzitoa maana ni aibu unaweza ukawa mbele za watu ghafla unaona hayo makundi ya hivyo ambayo ujawahi kujiunga...
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Kama mada tajwa hapo juu naomba kuelekezwa jinsi ya kuzifanya video za facebook zisicheze au kuonyesha bila ruhusa yangu.
Hili jambo nimeligundua ndio jini linalomaliza MB zangu na kama mujuavyo Mb zenyewe za kupima kwa vibaba...
Naomba msaada wana jf HP laptop probook 4331s ina window 8 pro build 9200 inachelewa kuwaka kwa kuandika window configuration failed.inaweza kukaka hata masaa sita haijawaka naomba msaada wenu
Natumaini nitasaidiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.