Board ya mikopo inafanya kosa kubwa sana, inaingia mikataba na wanafunzi, fedha zinapitia kwa chuo kumfikia mwanafunzi.
Kinachotokea ni hata wanafunzi wanasaini kiasi ambacho kikilipwa hawapewi mchanganuo wake na hivyo kujikuta wanadaiwa fedha ambazo wajanja(vyuo) walikula. Mfano halisi ni...
Fikiri mtu anafanya kazi mashamba ya maua(mengi yapo karibu na mijini) analipwa gross 77,000, net <=68,000
Kodi ya nyumba 20,000 - 25,000/mwezi.
Mafuta ya taa lita 2,200 x?
Sukari kilo 2,800 x?
Mchele kilo 1,800 x ?
Unga kilo 700 x ?
Nyama kilo 5,000 x?(starehe!)
Mafuta ya kupika lita x...
Inawezekanaje kosa la serikali yenyewe adhabu apewe mfanyakazi, mwekezaji?
Maelfu ya vijana wameanza kupoteza ajira baada ya kukosekana vibali vya kusafirisha mazao yao nje ya nchi, hali hii inazikumba hata kampuni ambazo hazisafirishi wanyama ila zinahitaji vibali vya CITES ambavyo mhusika...
Imebainika kuwa maelfu ya vijana wameanza kupoteza ajira baada ya kukosekana vibali vya kusafirisha mazao yao nje ya nchi, hali hii inazikumba hata kampuni ambazo hazisafirishi wanyama ila zinahitaji vibali vya CITES ambavyo mhusika ni aliyesimamishwa Mr. Mbangwa. Hali hii inasikitisha zaidi...
Kuna makampuni yapo mwekezaji =foreigner, manager =foreigner, mhasibu= foreigner, bankers=foreigner, auditors=foreigner
Hata kama TRA watafanya audit yao kwa kawaida baada ya miaka 3 unategemea huo mlima wa data abaini wizi kweli kama si kupitisha kila kitu???
Kama serikali ingekua makini hasa...
Hivi logic ya kuajiri mpaka wahasibu wa India, Kenya inaingiaje akilini?? Kama serikali ingekua makini eneo kama la uhasibu ambapo information zote za kampuni zitakuwa recorded ingeamua piga ua lazima awe mtanzania vinginevyo tunacheza tu.
Fikiri na mimi, mwekezaji =foreigner, manager...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.