Mahakama kuu imefikia uamuzi huo baada ya kikao chake kilichofanyika huko Kilwa Kusini; hivyo kufanya Mbunge kupitia tiketi ya CUF kuendelea na wadhifa wake huo; huku aliyekuwa mgombea wa CCM aliyetoa pingamizi hilo akitoka kichwa chini.
Source: tbc1 taarifa ya habari saa 2 usiku leo;
Mananeo haya yamesemwa na Naibu Katibu mkuu CUF-Tanzania bara, ndugu Julius Mtatiro wakati akihojiwa na TBC1 kwenye viwanja vya halmashauri ya Igunga mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa mbunge katika jimbo hilo ambapo mgombea wa CCM alitangazwa kuwa mshindi!
wana chadema je mna...
wana JF haya ni maoni yangu na ninafikiri ndio utakaokuwa ukweli wenyewe; kutokana na nguvu kubwa waliotumia chama tawala ccm katika uchaguzi mdogo wa Igunga, kwa maoni yangu mimi chama cha mapinduzi (ccm) kitaibuka kidedea katika uchaguzi huu. kwa mantiki hiyo natabiri kuwa matokea yatakuwa...
kuna tetesi kuwa mwandishi wa habari amefariki katika mazingira ya kutatanisha mwanza. yasemekana ni kwa ajili ya kufuatilia habari za kisiasa. naomba fuatilieni zaidi.
source: STAR TV
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.