Kuna watu katika dunia hii maisha yamewalevya hadi kufikia hatua ya kuhoji mambo ya kipuuzi kabisa. Kuna mambo mengi sana hata kwa kutumia akili tu ya kawaida inakupa ufahamu wa uwepo wa Mwenyezi Mungu.
Hivi, ni kitu gani kinachotenganisha ladha ya chungwa, limao, ndimu nk. Hali ya kuwa vyote...
Nimejaribu kukupa mifano ili nione akili yako unaishughulishaje katika kuunganisha baina ya hili na lile, lakini nimeona bado katika uwelewa ni sifuri. Lakini kidogo kidogo utaelewa bibie.
Hayo yote unayoyahoji ni katika dalili ya kuonyesha uwepo wa Mwenyezi Mungu. Mungu anaumba apendavyo yeye...
Na miongoni mwa watu wapo wanaobishana juu ya Mwenyezi Mungu bila ya ilimu, na wanamfuata kila shetani aliye asi. 22:3
Enyi watu! Ikiwa nyinyi mna shaka ya kufufuliwa basi kwa hakika sisi tulikuumbeni kutokana na udongo, kisha kutokana na manii, kisha kutokana na kipande cha damu iliyoganda...
Kuna watu humu wanauliza maswali kama vile hawajapitia hata darasa. Hivyo unadhani ulimwengu ndio wenye dhambi au walimwengu walio ndani ya huo ulimwengu? Eti unashangaa kama kweli Mungu ana upendo kwa viumbe vyake kwa nini aliumba njaa, magonjwa vilema nk!! Lo! Ngoja nisafiri na akili yako...
Hebu tuwekee hiyo sumu aliyoimwaga ili tulinganishe na huu unyama aliofanyiwa kama kweli alistahili kufanyiwa hivyo. Vinginevyo ni msukumo tu wa imani yako ndiyo unaokuongoza hadi utoe uharo wako huo. Hata kama ange uwawa unafikili kitu gani kingeongezeka kwako? Au hiyo amani unayoaminishwa...
Kulikuwa na matukio kama hayo kwa akina kubenea and others! Ponda alikuwa wapi? Hayo mahubiri ambayo alienda kuyahubiri Zanzibar kuna aliye yasikia na kujiridhisha kuwa yeye ni chanzo cha hao waliomwagiwa tindi kali au hayo mahubiri ni kweli ya uchochezi? Viongozi wa Uamsho hadi hivi leo wapo...
Na wakafuata yale waliyo zua mashet'ani kuuzulia ufalme wa Suleiman. Na wala Suleiman hakukufuru. Bali mashet'ani ndio walio kufuru, wakiwafundisha watu uchawi,na yaliyoteremshwa kwa Malaika wawili; Haaruta na Maaruta katika baabil. Wala hao hawakumfundisha yeyote mpaka wamwambie: Hakika sisi ni...
Mimi nadhani hawa jamaa wanachokifanya ni kuhisi. Hawana uhakika wa moja kwa moja kama ni yeye hasa ndiye muuwaji.
Unaweza ukaichora picha,bila kuifananisha na mtu yeyote lakini ajabu kutokana na maumbile ya binadamu picha hiyo inaweza kukutwa ina shahabiana na mmoja kati ya watu ambao tuponao...
23.SURATUL MUUMINUN
Hii ni sura iliyoteremka Makka. Aya zake ni mia na kumi na nane.
1.Hakika wamefanikiwa waumini
2. Ambao ni wanyenyekevu katika sala zao
3. Na ambao hujiepusha na mambo ya upuuzi.
4. Na ambao wanatoa Zaka
5. Na ambao wanazilinda tupu zao
6. Isipokuwa kwa wake zao au kwa...
Mheshimiwa waziri wa mambo ya ndani mbona hutangazi kuwa huu ni ugaidi? Hawa wote walio uwawa ni watanzania! Tafadhali hebu muombe kibali mh. Rais ili FBI waje kuchunguza mauwaji haya na isiishie kwa padre Mushi tu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.