Acha roho ya kimaskini wewe.
Yani 2,000 x 50 =TZS100,000 askari kuipiga ndio unakuja kulia lia hapa.
Umaskini ni mbaya. Ila kuwa na fikra za kimaskini ni jambo baya zaidi ktk maisha ya Mwanadamu.!
Kenge kweli wewe.
Sent from my SM-A536E using JamiiForums mobile app
Unabwabwaja tu hujui hata nimeandika nini hapo. Nani kasema Serikali waajiri ni wawili kama sio mmoja?
Kwa mentality hiyo marejesho ya FINCA Faidika Tunakopesha Ltd. yatakuandama sana.
Hivi ulikuaje mtumishi wa umma kwanza??
We lisha wadau matango Pori tu.
MDAs kwanza hazina uwezo hata wa kugharamia mchakato wa ajira za utumishi ndio maana wanapewaga watu wa kwenye "Database".
Ogopa kitu kinaitwa LGA , utashinda na njaa sana.
Itakua mfumo wako wa maisha yani namaanisha chai jagi kitumbua kimoja.
Ile Idea ya moja ya tatu, wasomi wanaiita "one-third" ilitokana na watumishi wa LGAs feat. ndugu zao wa MDA kulala na njaa sana.
Wadau wako wa Maendeleo watakua ni...
Ndio maana mwanzoni nilikuita mjinga mjinga now umethibitisha.
NY inaongozwa kwa mifumo unashindwa vipi kusurvive? Huyo boya aliyekutelekeza naye alikuona we mbwiga akaamua akuteme.
Haya hiyo Queens unayodai ulifikia ni Jamaica Avenue au?
Unaitafsiri sheria kimakalio makalio Mkuu.
Shall be eligible for reappointment subject to.....
Apo kwenye "subject to...." sasa ndio wenye Nchi tunachagua mtu wetu wa kumuweka.
Kwa sababu we mjinga mjinga. Kwa sisi tulioishi NY, ungeenda ubalozi mdogo wa NY ukaongea na Balozi Kenedi akupe zile floor za juu hazitumiki uwe unaishi humo wakati unajipanga. Tena ungekua unakaa Downtown NY.
Otherwise ungetafuta Mbangladesh mmoja akupe mchongo uwe Cab Driver.
We nawe hamnazo. Ungekua exposure sawa ningetumia jitihada kukuelewesha.
Mfano States huwezi kukuta Rais anaingilia ishu za FBI au CIA. Kwanini? Hakunaga ule upuuzi wa ujamaa na kujitegemea. Mfano tu Kenya hapo wanajitahidi sana becuz hakukua na upuuzi wa ujamaa
Acha kulisha wadau matango pori wewe. Hujui 'system ya nchii inavyofanya kazi wewe'.
Unamchukulia poa PS wewe. Ukiskia 'Maelekezo ya Serikali' ujue Katibu Mkuu kaunguruma.
Katibu Mkuu anatoa maelekezo ya serikali kwa Taasisi zote zilizo nchini ya Wizara yake, sio wateule wote wa Rais...
Bado upeo wako unatia mashaka sana. Tatizo shuleni mlifundishwa 'Colonial Legacy' wakaacha 'Ujamaa Legacy" ndio upeo unadumaa sana.
Hakunaga 'Independent Departments' ktk 'Nchi zenye asili ya Kijamaa kuna kitu inaitwa 'Direct Control of State'.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.