Good thing ulishangilia sana October 7 siku Moja tu ilikupa Furaha isiyo na kikomo but bad thing imebaki ni kilio tu apo Gaza strip kuzika watoto na kina Mama
Soon Tena waislam wenzako wateperekwa peponi kuinjoy kama mashaheed so hatutaki kusikia ngonjera za ceasefire
Grandma usije Anza kulia maiti za watoto na kina Mama zikianza kuokotwa barabarani za waislam wenzako
maana kwa video footage iron dome ina intercept drones kalibu zote swali ni je Israel nayo ikituma hao miamba Yako Hezbollah wana air defence ya kuzuia mashamburizi?
Vip kuhusu target Hakuna...
Mtu anaie shabikia hii vita kwa kutumia hisia na mahaba Ndio zao kuropoka bila evidence yoyote ni watu wa ku wa ignore wajifurahishe mioyo yao ukimwambia weka ushahidi wako mezani atabaki na vijistori vya kwenye kahawa
Bro Trump ni candidate Lakini Biden ni incharge mpaka sasa so mawazo ya Trump ni mawazo ya Raia na sio Office japo ni MTU mwenye nguvu ila Kwa Sasa hana mamraka
Katika nchi wajua kucheza mind games ni US wakitumia Media inafurahisha ulivyo sema.
"Hata US sasa hivi kutoa msaada kwenda Israel...
Mkuu ninacho kukubali ni very matured mala nyingi watu naona wanakutolea lugha mbaya lakn unajibu vizuri very cool yaani not like others ambao mala nyingi huanza na sijui kafiri wewe sijui nenda kabarikiwe shoga ww
Wengine sisi jF ni DARASA tupo kujifunza vitu ambavyo either hatuvijui kabisa au...
Hivi malaria kuna kitu waga unawaza tofauti na uislamu??
maana huna tofauti na mrokole anae nunua mafuta ya upako wote mshakua Religion psychopath mnampigania Mungu mpaka unajiuliza huyo Mungu hana uwezo mpaka anapiganiwa hivyo na wanadamu?
Hii haiwezi kua sababu kuu ya Israel ku withdraw vikosi vilivyo kua gaza Israel anakiburi na amri kama hizo kesha ambiwa mara nyingi kazipuuzia
Israel saizi ana mfupa mgumu wa kuutafuna (Iran with his proxies) ambao obviously anaitaji Askari wengi kwa utayari wa vita inayo tazamiwa kutokea hii...
Israel kaanza ku withdraw vikosi vilivyo kua gaza kujiandaa na hii vita kubwa ambayo ipo mbele yake vita ambayo itabadilisha taswira ya middle East
Haijalishi Israel yupo vizuri kiasi gani kwenye counterintelligence kupitia MOSSAD ila kwa hii death shadow inayokuja bila kaka yake kuingilia kati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.