Komputa inauzwa iko Arusha bei ni shilingi 300,000/-
specification zake
window xp professional
Intel (R) Pentium (R) Dual CPU E2140@1.60 GHz 448 of RAM.
Halafu tukitafuta wenye nazo mnaanza zogo,sasa haya mambo ni yakuja kusema huku?Ningecoment na simu gani kama nisingenunuliwa ya hela ndefu tena bila kuomba.Ubahili wa mtu ndio unasababisha mpigwe mizinga kuna wengine hatuwezi kuomba.
Naona uislam unawanyima watu usingizi humu mtachimbachimba hata vitu havina maana kwani nani hapendi hayo mambo haya ajitokeza.Acheni dini za watu tafuteni mada zingine hivi ni kutafuta chuki tu.
Hili la kukaa kimya ni mbaya sana halafu ni wanaume wengi wanatabia hiyo.Halafu kuna wanaume wengine wanakuwa wapole wanaacha wake zao wanawapelekesha mpaka wengine wanaingilia kwenye kazi ya mume kama wamejiajiri na kuanza kupanga kazi na kufuatilia pesa ngapi zimeingia.Unakuta mume anapanga...
Hii ndio inaleta ugumu hata kwa wanawake kuolewa na wanaume wenye watoto tayari utajitahidi uwalee vizuri lakini utapata mitihani kwa ndugu wa mume au watu wanaokuzunguka hali inayopelekea kuwa na chuki na kuanza kulipiza kisasi ni ngumu pia kwa mama wa kambo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.