Search results

  1. chameli

    Nauza Kompyuta Desktop

    Komputa inauzwa iko Arusha bei ni shilingi 300,000/- specification zake window xp professional Intel (R) Pentium (R) Dual CPU E2140@1.60 GHz 448 of RAM.
  2. chameli

    Nauza Hp Printer 2050 all-in-one J510 series

    mwisho 100,000
  3. chameli

    Nauza Hp Printer 2050 all-in-one J510 series

    Nauza Hp Deskejet Printer All - in - One J5100 Series ina scanner. Ni mpya kabisa sijaitumia bei 120,000.Ipo Arusha
  4. chameli

    Kuandika majina au matusi katika vyoo hasa ukutani

    kuna mahali nilikuta wameandika ''kunya kistimu'' ha ha ha
  5. chameli

    Wanawake wote bongo mna simu mbovu??

    Halafu tukitafuta wenye nazo mnaanza zogo,sasa haya mambo ni yakuja kusema huku?Ningecoment na simu gani kama nisingenunuliwa ya hela ndefu tena bila kuomba.Ubahili wa mtu ndio unasababisha mpigwe mizinga kuna wengine hatuwezi kuomba.
  6. chameli

    Nini kili inspire Uwe na Jina hilo humu JF?

    chameli maana yake ni Jasmine
  7. chameli

    Picha:Hapa ndipo watakapofikia waovu(shimo la jehanam)

    mola atuepushe moto wa jehanam amin
  8. chameli

    Dada wa kazi

    Eti siwezi kumsaliti mke wangu, we mdanganye huyo hausigeli.
  9. chameli

    Tunisian Girls Are Coming Home Pregnant After Performing 'Sexual Jihad' In Syria

    Naona uislam unawanyima watu usingizi humu mtachimbachimba hata vitu havina maana kwani nani hapendi hayo mambo haya ajitokeza.Acheni dini za watu tafuteni mada zingine hivi ni kutafuta chuki tu.
  10. chameli

    Zanzibar Sio LImbukeni wa Ustahamilivu wa Kidini

    Atakimbia vipi wakati wahusika wanakuwa kwenye vespa?
  11. chameli

    Swali: hivi ni kwa nini wanawake wengi kwenye ndoa wanaamini wao ndiyo wa mwisho kufa

    Hili la kukaa kimya ni mbaya sana halafu ni wanaume wengi wanatabia hiyo.Halafu kuna wanaume wengine wanakuwa wapole wanaacha wake zao wanawapelekesha mpaka wengine wanaingilia kwenye kazi ya mume kama wamejiajiri na kuanza kupanga kazi na kufuatilia pesa ngapi zimeingia.Unakuta mume anapanga...
  12. chameli

    Kwanini Mama wa Kambo huwa na Visa?

    Hii ndio inaleta ugumu hata kwa wanawake kuolewa na wanaume wenye watoto tayari utajitahidi uwalee vizuri lakini utapata mitihani kwa ndugu wa mume au watu wanaokuzunguka hali inayopelekea kuwa na chuki na kuanza kulipiza kisasi ni ngumu pia kwa mama wa kambo.
  13. chameli

    Msaada: Mke wangu mvivu kupindukia!

    Mimi nimeshangaa kuna watu wana bahati halafu wanaichezea.Eeh mungu nijaalie nipate mume kama huyu 'Amin'
  14. chameli

    Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

    Sijajua unakataa nini hapo? Nakwambia yaliyonikuta hayo uliyoandika nayajua yote.
  15. chameli

    Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

    Kwa idadi ya wabara walioko kule dah itakuwa pesa ndefu.
  16. chameli

    Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

    Nasikia kafiri maana yake ni mtu asiye na dini.watakuwa wanachanganya kama kubeep na kudipu
  17. chameli

    Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

    Z'bar nimeishi miaka saba hata ukiwa muislam hawakuamini kwa kuwa umetoka bara,utaulizwa ulizaliwa muislam au ulibadili?
  18. chameli

    Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

    Breaking news hiyo
  19. chameli

    Sijawahi kupanda ndege...Nielimisheni

    Kwa kuwa umetokea Mwanza jihadhari kuna jamaa mmoja aliuziwa pamba wakiwa angani.
Back
Top Bottom