Toka jana usiku baadhi ya maeneo ya wilaya mufindi Umeme umekuwa wa matatizo, unawaka na kuzima. Kama kuna shida ni bora wangezima kabisa kuliko mtindo huu wa kuuacha umeme usio na nguvu, watu wengi wamelalamika kuunguliwa vitu vyao.
Dhahiri Polepole hawezi kazi ya uenezi, imemshinda, na hasa baada ya watu kumhoji imekuaje anawasaliti watu kwa kulamba matapishi yake. Akiwa bunge la Katiba aliishambulia ccm ambayo leo ndio mwajiri wake, jambo linalotafsiriwa kuwa yote aliyokuwa anayasema akiwa bunge la Katiba ilikuwa ni njaa...
Wakati wa Mbowe kustaafu bado, tunawaonya ccm kuacha kutuchagulia m/kiti ,wao wajikite kurekebisha Katiba yao ili kuruhusu wanachama kugombea nafasi ya m/kiti wa chama chao badala ya m/kiti kugombea na kivuli ikiwemo kutopingwa.
Mbinu na mikakati ya ccm kwa chadema imebainika, hawana cha kuisaidia Chadema zaidi ya kukisambaratisha, kama ccm ingekuwa na huruma ingevigeukia vyama hivyo ili kuvishauri kubadili uongozi wake, vingi ya vyama hivyo havijawahi hata kufanya uchaguzi achilia mbali wa m/kiti bali wa viongozi wa...
M/kiti wa taifa na ccm ktk moja ya mikutano ya chama alisema, "kuanzia sasa viongozi watakuwa na nafasi moja tu" ni marufuku mtu mmoja kuwa na nafasi mbili za uongozi. Swali, imekuwaje m/kiti wa ccm mkoa wa Iringa kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Mbeya? Hatujaambiwa mahala popote kuwa amewahi...
1. Tuache mambo mengine, tudai Katiba mpya kwanza.
2. Tudai tume huru ya uchaguzi kabla ya uchaguzi wowote.
3. Utawala wa sheria uheshimiwe.
NB:
CCM inatumia udhaifu ktk Katiba yetu kututawala wanavyotaka. Viongozi wa kuchaguliwa tunapangiwa na ccm, wananchi wanachagua halmashauri lkn kwa...
Wadau wanajukwaa,
Kuna kila sbb ya kudai katiba mpya, bila Katiba mpya ccm wataendelea kutufanya vichwa vya wendawazimu, hivi kwa mazingira ya sasa, unaweza kuamini kuwa ccm inaweza kupita bila kupingwa? Pamoja na hayo kumekuwepo na matumizi makubwa ya nguvu toka jeshi la Polisi, ktk uchaguzi...
Nimefadhaishwa na kinachoendelea halmashauri ya mji Tunduma na Manispaa ya Iringa, zipo taarifa toka kwa viongozi wa chadema kanda kuwa mkurugenzi wa mji tunduma amegoma kuwapa fomu wagombea halali wa chadema hata baada ya kupokea maagizo toka tume ya taifa ya uchaguzi, kwa mujibu wa taarifa za...
Nianze kwa kumpa pole bwana Mwigulu Nchemba kwa kuzuiwa kufanya mkutano ktk jimbo lake, jambo hili linathibitisha kuwa CCM ni ya viongozi na si ya wanachama.
Mambo haya yamezungumzwa sana, mwanzoni ilionekana wanaoweza kufanyiwa kama alivyofanyiwa Mwigulu ni waoinzani tu, lkn sasa inathibitika...
Nimefuatilia Press ya bwana kangi na waandishi, Press hiyo imetawaliwa na shusha, fukuza, binafsi kama mwananchi sijafuarahishwa na hatua hizo, binafsi nimeona ni Kama kutafuta political mileage tu, kwa wale waliopitia jeshi wanafahamu, ili mtu ashushwe cheo zipo taratibu zikiwemo mahakama za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.