kumbe pesa za kutekeleza madai ya madaktar zipo,kumbe sarikali ndio inayotengeneza migogoro.je hizo pesa zilifichwa wapina kwa malengo yapi?jamani tuzinduke tunaibiwa tuzinduke!!!!!!!!!!!!!!!!!!! na tuwahoji tusikubali kupelekwapelekwakm coloni la ccm.
njaa ukiiendekeza nndio inakushusha hadhi km hivyo,mbona wako watafiti wengi wanaojitambua hawakufanya hivyo wala hawwawezi kufanya ujinga huo.wajue baada ya 2015 km watabaki na hivyo vyeo walivyopewa zawadi kwa utabiri wa kupika data/ na si utafiti
hata mpumbavu akikaa kimya uonekana ana hekima!bora ungenyamaza.km ukabila na udini uko ccm,mkakati wa kuweka watu wa dini fulani kwa wingi uko ccm, nenda chunguza kuanzia matawini mpaka uongozi wa juu.ukabila ndo usiseme,ukiwa mtu wa coast region ndo kipaumbele, ukiwa mtotot au ndugu wa kada...
labda operation za kiukoo wa wenye ccm,maana hiki chama ni cha watu fulani tu,familia,koo, wanarithisha uongozi km mali ya familia na ukoo,wengine wana vaa magwanda ya kijani ili kusindikiza tu wana ukoo.
hilo lilianza muda lakini mpaka kufikia hapo,kweli watu wamemaanisha kuleta mabadiliko na hawataki ujinga.huyo kijana atakuwa ni wale wanaoahidiwa ukuu wa wilaya akidhani ni rahisi hivyo.mjinga kwelkweli
we ni kibaraka wa mafisadi km wewe mwenyewe sio fisadi!kwishnee,kungereza in not an issue,Filikunjombe ni mkweli na daima wanafiki huwa hawapend ukweli,km huna hoja tekeleza sera ya kilmo kwanza
kabisaaaaa!!,kuna wanaojiita wana mashirikisho ya vyuo vya elimu ya juu..............wanatumiwa km ngazi ya watu kufanikiwa sidhani km kuna hata mmoja aliyepata uDC ,kazi yao kutoa matamko yasiyo na tija,vijana amkeni kabla jua halijawa kali mtaumwa macho.
hawa ni wanachama wa CCM wanaopewa ulaji ili kukipigania chama kwa ngazi yao ,kazi yao kubwa ni kula pesa za halmashauri na kula chakula cha bure toka kwa wakulima na nyama ya bure toka kwa wafugaji.wote ni wana CCM hakuna utendaji wala uzalendo ni usanii tu lakini siku zao...
nin mashaka km huyu kweli ni afisa ustawi a jamii,inawezekana hao ndio wale wanaowekwa na magod father wao bila taaluma husika.halafu social workers wa kweli wanabaki hawana ajira ukizzingatia hata wizara ya afya na ustawi wa jamii haiwathamin maafisa utawi ndo maana huwezi kuona waziri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.