yaani huo mwezi wa nane tutaona mambo. Nusu ya waislam wanaoburuzwa na Bakwata ndio watashiriki sensa na tuliobaki hatuhesabiwi ng'o bila ya kipengele cha dini. Yaani serikali ijiandae kufeli kwenye hiyo sensa.
wadau mwenye utaalam wa jinsi ya kulima vitunguu swaum anijuze tafadhali. Tayari ninalo shamba mkoani mbeya hivyo ni kuanzia uandaaji wa shamba, mbegu na muda mpaka kuwa tayari kuvuna.
unataka kutugawa kimatabaka ili tuchukiane wenyewe eti waislam wa bara na waislam wa zenj. Hakuna kitu kama hicho kwani waiskam wote dunia nzima tunasimama kweny LAILA HAILA LLAH, MUHAMMAD RASULU LLAH. FULL STOP.
sawa kabisa, wanaringia vi dispensary walivyofungua kwa kuiba madawa msd, sasa tunafilisi kabisa ili kurudisha heshima. Dai la kutaka lazima waziri wa afya na naibu wake wafukuzwe ni la kipumbavu..
hatuna uwezo wa kuwahukum wazazi, yaani mtu anatupiana maneno ya kejeli na mzazi wake hadharani. Kanumba ni mwendawazimu, hana hekma. Na akifanya masikhara amani ya maisha itakosekana hata kama pesa ipo. Mshamba mkubwa!
wananchi wa Libya wanamkumbuka Gadafi sasa kwa mambo kama kumchafua mtu ili aonekane hafai na muuaji. Chavez yuko sawa proganda nyingi zilitengenezwa na Obotte na Nyerere ili kusimamisha kanisa Catholic Afrika mashariki na kuua umoja wa kiiskam ulioanza kukita mizizi ktk ukanda wa Afrika...
be critical bwana! Uchanga maana yake nini... Argue don shout, tafuta wenzako kumi wenye akili kama zako halafu tafuta mada unazoipenda halafu mwisho tutafanya evaluationi tujue mchanga nani... Khabiiith laamar.
naibu waziri wa ndugu Mulugo alikwenda ndanda kuongeza tatizo na mwalim mkuu aliandaa vijana ili wajifanye ni waislam na kuwakandamiza vijana waliofukuzwa.
cheza na kila kitu lkn si vijana. Na kwa taarifa yako serikali inaendelea kuomba tulimalize kwa amani, mkuu wa mkoa wa mtwara halali ushngizi anaomba vijana waandika barua za ku appeal ili awarudishe kinyemela. Tunasema NO. Serikali ikitaka twende mezani tufanye makubaliano. Full stop.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.