Kula udongo ni matokeo ya upungufu wa kiafya.
Madini ya mwili yakibalance hamu ya udongo inakata.
Pia pemba nyingi zimejaa minyoo na mayai ya minyoo. Ni ukosefu wa hekima na elimu tu.
Kula udongo ni matokeo ya upungufu wa kiafya.
Madini ya mwili yakibalance hamu ya udongo inakata.
Pia pemba nyingi zimejaa minyoo na mayai ya minyoo. Ni ukosefu wa hekima na elimu tu.
Kuanzia roundabout ya Uhuru hizo shule zote napendekaza ziondolewe zitafutiwe eneo lingine lipishe wamachinga walioratibiwa.
Kiwanda cha bia hakina sababu ya kukaa katikati ya jiji, kiamishwe kipishe wafanyabiashara.
Maeneo hayo yajengwe majengo simple ya kisasa yenye vizimba vya kimkakati...
aliyesema alisema akirefer mkataba ambao hatuna, anao aliyesema.
sasa hapo ndio panakuwa pagumu kukataa moja kwa moja kile kilichosemwa na kupokea hiki kipya.
sorry nimesoma kwa harakaharaka bandiko lako nitarudi upya neno kwa neno
Usiwasahau na madikteta walioleta uchumi imara.
Lee Kuan Yew
Na Yule wa Chile mzee wa economic miraclealisaidiwa na vijana wa chicago university nadhani.
Kila kinachosemwa kilionyeshwa live. Bunge lilikuwa gizani bali serikali na maendeleo yake yalikuwa live kila siku. Hivyo hata vijijini wanajua. Sasa inaboa kuambiwa kitu ambavyo tayari anayekuambia ameshakuambia tena Mara nyingi.
Ni vizuri CCM waahidi na mambo Mapya yenye kuibua hisia za...
Karibu kila chombo cha Habari kinaonekana kupigia chapuo chama cha Mapinduzi. Gharama Kubwa inaonekana kutumika kwa CCM kutafuta wananchi watakaoipigia Kura CCM.
Kinyume chake naona wananchi wanatumia gharama kubwa kumtafuta Lissu popote alipo hasa mitandaoni.
Ukikuta Kikundi cha watu kikao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.