naomba kuuliza wakuu nmenunua fridge hisense rd 20 lakn naona mbele kwenye milango kuna rangi ya silver na pembeni kuna rangi flani ya kqma kijivu flan je ndo yanakuag hvo au nimepgwa hapa wakuu
Huu ni ukweli wakuu hii ni nyimbo ambayo hata ukiiskia tu hisia za kulia inakujia hii nyimbo ni nyimbo ambayo haitowahi kutokea kwenye muziki wa bongo flava 🙌🥲 hakuna na haitowahi kutokea nyimbo ya kuhuzunisha kama hii
Wakuu kuna kisimu changu kimeibiwa sasa nimehangaika naona imekuwa mambo mengi kama mtu unaweza kuifunga isifanye kazi kama inawezekana nitashukuru
Lakini pia kama utaitrack kama utamlipisha ukimkamata aliyeiiba hii simu ni wewe tu upendavyo mimi nimesamehe lakini roho inaniuma naweka na imei...
kwema wakuu,
Mdogo wenu huu mwaka nimejitafuta nataka nikanunue uwanja mwsho wa upepo uko ndani ndani.
Sasa sijui chochote kuhusiana na kununua uwanja naombeni mnipe muongozo mdogo wenu napoenda kukamilisha hii ndoto yangu maana naogopa kutapeliwa wakuu
Kama heading inavyosema kununua bidhaa kwenye duka la mbongo msawahili kabsa mweusi tiiiiiiiiii ni shida sana atajifamya kukupa guarantee ya mwaka au miaka 2 au miezi sita halafu bidhaa ikileta chanagamoto aisee wanaruka hawataki kabsa kukurekebishia au kukupa fundi wao bora kununua vitu kwa...
Siwafichi wakuu, mimi ninapofaniliwa kupata seat kwenye mwendokasi halafu mwendokasi zikiwa ni za shida huwaga najiona kama nimeshawini kwenye maisha.
Najiona kama mimi nna gari langu kwahiyo hawa waliosimama huwaga nawaona kama maskini hivi, muda mwingine nawaonea huruma kabisa huku nimefungua...
Kwema wakuu nataka nilianzishe hapa maana mtu unalipa kodi kila baada ya miezi 6 halafu choo kimejaa, mwenye nyumba hakai hapa lakini je ni nani mwenye jukumu la kulipa wakati sio mwenye nyumba ndo anaestahili kulipa hyo pesa kama shilingi 80,000.
Inakuaje wapangaji tupigishwe mchango wa elfu...
Hivi kwann wamasai hawataki kabsa kukaa porini yaan kila siku wanakuja Dar wanaongezeka kwa kasi sana aisee hawataki kabsa kuchunga n'gombe mnataKa nani awachungie aisee masai hamtaki kufanya kazi za asili.
Yaan masai mmekua kama watu wa makumbusho kutaka kazi nyepesi kusuka tu na kukaa tu...
E bwana kwema wakuu? Nna week ya pili inaenda hii nimepata fangasi /weupe kwenye ulimi sasa nilienda pharmacy nikaambiwa nI fangas ila hakuna maumivu yyte wakuu nkapewa dawa ya Miconazole Oromucosal gel BP ambayo nliambiwa nitumie kwa week lkn bado akupata mabadiliko yaan ilipungua kidg sana...
Kwema niko chaka mji kasoro bahari huku nimepata mwanamke mzuri sana ananipenda tena yuko vzr haswaa ila changamoto ni Hawa jamaa sijui wapoje ningekua na uwezo wa kumroga ningemroga uyu jamaa anamsumbua demu wangu.
Mda mrefu sasa anafkia hatua ya kumtishia maisha kisa yy mjeshi.
Wakuu...
Eh bwana wakuu chaneli za pesa ni ngumu sana kuna muda mambo yanabana moka unatamani hata ungekua una imani ya kishirikina ukaroge ilimradi na mm nipate chaneli za pesa wazee mambo hayaendi ukiangalia vijana wenzetu wanafanya mambo ya maendeleo sisi tunakomaa kupambana lakini inakua ni kama...
Kwema?
Iko hivi kuna muda mtu mlunataka kuvuka na hauna kadi unajitoa unataka kukatisha kadi mpya kwa shilingi elfu 2 unapita pale kwa wanaosajili unakuta hawapo kabsa au wakiwepo unaambiwa sijui rimu sijui ni karatasi zimeisha.
Hii imetokea jana nikienda huko nikiwa sina kadi maana...
Wagwaniiiii..?
Kama umefatilia mitandaoni Kenya kuna gumzo baada ya mwamba kutoka Indonessia ambae amehack page ya chuo cha karabag ambacho wanadai kinadeal na mambo ya it lakini wamehakiwa na mchizi kutoka indonessia ambae anataka dola $500 ndo aachie account lakn uongozi wa chuo umegoma...
Habari naomba mtu anaejua jinsi ya kulipia matangazo instagram ili kuwafikia wateja au wahitaji wa huduma ninazotoa naomba anielekeze vizuri maana sina utaalamu mkubwa kihivo.
Mwaka jana nilifungua account nikapromote tangazo na likawa limepata viewers wengi sana lakn jinsi ya kuwalipa...
WagwaNiiiiiii
Ebhna simba mwenyewe chibu deee aka baba zuchu hiki kichupa alichoachia katuonesha kuwa bado ana uwezo wa kuendelea kutawala mziki wa bongo kwa zaidi ya miaka kadhaa sasa anataka kuwarudisha fanbase yake iliyoondoka baada ya kuona anaimba ngololo ngololo hii kichupa cha Zuwena ni...
Habari wakuu kwema?
Kutokana na changamoto ya nchini kwetu la tatzo la maji safi nchini mi naona kama serikali yetu pendwa ikitumia mbinu ya kuweka mabomba ya maji makubwa yategwe juu yaani kama zilizopita lines za tanesco.
Zile nguzo ambazo zinakuwa zimetegwa sasa bomba la maji ili lisiweze...
Kiwanja chako mwanzo tulikuwa tunamimika kwa wingi lakini baada ya kuona watu tunajaa maana wengine sisi ni wazee wa kupigiana simu wana kwa wana hasa kipindi kama hiki cha sikukuu tunapenda kuenjoy lakini kwa utaratibu mliouanzisha juzi siku ya sikukuu ya Christmas utawapunguzia wateja kama...
Mambo vipi wakulungwa?
Aisee huyu jamaa anajua sana aina ya mziki anaoufanya amapiano, halafu anachanganya na fuji sijui na makorokoro gani. Anajua sana kucheza na mdundo, hasa Producer wake huyu anamjulia.
Ukisikiliza ngoma kama Nzanza, Sungba Peace be Unto You, Reasons, Ototo, aisee, jamaa...
Habari zenu wakubwa shikamooni
Fundi bishoo hapa nimewaza nimeona hivi kwa nini serikali yetu isingefanya hiki kitu yaani ikatengeneza mfreji wa maji ya bahari kutoka Dar es salaamu mpaka Mwanza halafu waitengenezee kitu kama bwawa flani hivi la bahari ili iwe kivutio maana ni mji mzuri ila tu...
Habari nataka kupita Kawe nasikia kuna panya wameliamsha dude eti wamefunga road ni kweli maana kila nayempigia simu wa maeneo hayo hawanipokelea simu na mimi nataka nipite Ukwamani vipi kuna anayejua tukio hili wazee?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.