mi ni afisa wa kata,leo nimekamata fataki kijijini kwangu,anamuoa mwanafunzi aliyefanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi wiki iliyopita,tafadhari tusaidieni wasomi wetu sheri inasemaje ili niweze kumtia hatiani hili fataki linaloharibu watoto na kuwambukiza ukimwi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.