Search results

  1. E

    Kuitwa kwenye Interview TANROADS- Kagera

    na mimi niliomba mkuu,ila naona kimya,sijui wana jf kama kuna mwenye taarifa
  2. E

    Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema apelekwa mahabusu

    God bless lema,god bless tanzania.
  3. E

    Tusaidieni wanasheria watanzania wenzenu vijijini?

    mi ni afisa wa kata,leo nimekamata fataki kijijini kwangu,anamuoa mwanafunzi aliyefanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi wiki iliyopita,tafadhari tusaidieni wasomi wetu sheri inasemaje ili niweze kumtia hatiani hili fataki linaloharibu watoto na kuwambukiza ukimwi?
  4. E

    Ubora wa degree za UDOM na St Joseph

    "fact fight for itself" hakuna chuo bora bongo viko vyenye nafuu tu,tofautisha chuo kipya na chenye muda.kama wewe ni critical thinker huwezi kulinganisha udsm chenye miaka zaidi 30 na st.john chenye less than 5 years. Rudia chekechea inaelekea hujapitia ndio maana una mere discussion.
  5. E

    Ajira mpya watendaji wa vijiji na kata!

    hi!! Tuambie source mkuu,tufatilie.
Back
Top Bottom