hivi Tanzania ina haja ya kusheherekea miaka hamsani ya uhuru wakati taifa liko katika msiba wa matatizo lukuki? nadhani hizo hela za kuandalia hizo sheree zingetumika kununulia majenereta ya kupunguza mgao wa hili giza!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.