Sheria imetafsiri kwamba kumuingilia msichana wa chini ya umri wa miaka 18 ni ubakaji kwakua hana umri wa utu uzima.
Kwahiyo ameshawishi kwa miwa na pipi ila kumuingilia ni kumbaka
Huo ni utapeli.
Unaelekezwa sites ambazo wanamiliki wao wenyewe ili upate cheti.
Utaambiwa ulipie. Ukishalipia, ukirudi huku utakua na bahati kama watakuacha la sivyo utaambiwa kinachohitajika ni kama hichi so kalipie tena.
CAG ameonyesha kuna ubadhilifu wa 3.6B
Pesa aliyokutwa nayo inagonga 3.7B
So uchuguzi wa CAG ni wa ndani ya mwezi huu baada ya kifo cha Rais na DG wa TPA akaiba 3B+ huku akijua CAG atakuja kuchunguza?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.