Search results

  1. Madumbikaya

    Askari mstaafu Polisi Saba Sita baada ya kuchimba kaburi sasa anunua jeneza

    Sijajua ni matatizo ya afya ya akili au ni laana kama laana zingine pale mtu mstaafu badala ya kutulia na maisha lakini unaanza kuweweseka, Wataalam watatusaidia. Askari mstaafu anayejulikana kwa nick name Saba Sita, Miaka iliyopita alijichimbia kaburi kwa ajili ya manzishi yake nyumbani kwake...
  2. Madumbikaya

    Wakenya tumewaacha sana kimpira,Yanga na Simba zipo quarter Final CAF championship

    Kenya mpo ,Tanzania rasmi ndani ya Afrika imepeleka timu kubwa mbili toka Derby ya kariakoo yaani Young Africans na Simba Kuna wakati lazima usemwe Tanzania ndio Giant ya mpira kwa sasa Africa Ndugu zetu wakenya msione aibu kuja Dar es Salaam kujifunza mbinu
  3. Madumbikaya

    Uongozi wa AL AHLY SC na YANGA SC waanzisha ushirikiano rasmi. Eng. Hersi na uongozi wa yanga watembezwa kwenye makao makuu ya AL AHLY

    Uongozi wa AL Ahly SC umewakaribisha Young Africans SC katika makao yao makuu na imeamriwa watafanya ushirikiano katika kukuza uwekezaji Eng Hersi amesisitiza mbele ya uongozi wa al ahly kuwa mabadiliko ya kwanza walienda kujifunza FC Barcelona na kuanzisha ushirikiano ambao unawasaidia kupata...
  4. Madumbikaya

    Tundu Lissu: Mama Lowassa ni mwalimu wangu miaka 41 iliyopita

    Tundu Lissu ameyasema hayo alipotembelea familia ya Lowassa kuhani msiba kuwa amefika kumpa pole mwalimu wake aliyemfundisha darasani miaka arobaini na moja iliyopita. Tundu Lissu amesisitiza ukimtoa Mwalimu Nyerere kwa ushawishi anayefuata ni Edward Lowassa kwa ushawishi, hivyo Taifa...
  5. Madumbikaya

    Hakuna wa kuihujumu e-GA, Serikali haina Software engineers kama sekta binafsi

    Maamuzi ya wizara ya habari kutafuta Software developers au ushirikiano toka sekta ya kibenki ni wa kupongezwa,Serikalini bado wanajikongoja sana software engineers wake ,Wale vijana waliokuwa wabunifu pale BOT sasa walihamishwa na kupewa vyeo huko e-GA Baada ya kusikia wizara ya habari...
  6. Madumbikaya

    Je, ujenzi wa Maghorofa Kariakoo unazingatia viwango au ni Siasa za rushwa?

    Mamlaka ya ardhi ijitathimini na ichukue hatua kabla maafa hayajatokea mitaa ya kariakoo kwa maghorofa kuporomoka ghafla kama ilivyokuwa pale posta mtaa wa Indira ghandi kwa kukagua na kusimamia ubora wa majengo Leo naangazia mtaa mmoja tu wa kariakoo Livingstone street Kariakoo, Huu ni moja...
  7. Madumbikaya

    AFCON 2024: Wanasiasa wamepanga kikosi cha timu ya Taifa. Je, Manula, Samata na Shabalala ni wa kuanza mechi dhidi ya Morroco?

    Sikushangaa kusikia Waziri wa michezo akisema hata wao huwa wanamuuliza kocha kwanini amemuacha Shabalala na Feitoto lakini majibu ya kocha yanawaridhisha. Wakati wa kocha Amunike pale Misri,Wabunge wakiongozwa na ndugai walienda kumpangia kocha Amunike nani acheze au asicheze na alipokataa...
  8. Madumbikaya

    Timu ya Al Ahly wapitishia mizigo dirishani badala ya mlangoni

    Afrika ni Afrika tu,Na wa Afrika ni wa Afrika tu Timu ya al Ahly inayojiandaa kucheza na yanga desemba 02,2023 imezua gumzo la mwaka kwa kusafiri na mizigo mingi iliyopita kiasi na kuhitaji gari tatu ,Basi moja kubwa la Happy Nation,Coastal moja ,Pamoja na Noah moja lakini bado gari zote hizo...
  9. Madumbikaya

    Yanga yatoa Ng'ombe kwa waandishi wa habari baada ya kureport vizuri mechi ya kumkanda Simba goli 5

    Leo club ya Young Africans imekabidhi ng'ombe kwa waandishi wa habari baada ya kureport vizuri na kuhabarisha uma tukio la kumkanda kolo goli tano Yanga imewashukuru waandishi wa habari kwa ushirikiano mkubwa wanaouonyesha katika kuhabarisha uma
  10. Madumbikaya

    Sherehe za Kuwakanda Simba 5 zaendelea Zanzibar

    Leo tarehe 27/11/2023 Serikali ya Zanzibar chini ya Rais mwinyi wamekubali kutoa udhamini kwa yanga kupitia taasisi yake ya mapato yaani zanzibar revenue authirity (ZRA) pamoja na ZIPA(Zanzibar investment and promotion agency). Wawakilishi wa ZRA na ZIPA wameishukuru club ya Yanga kwa kuonyesha...
  11. Madumbikaya

    Je, Ibrahim Bacca wa Yanga FC ni mwanajeshi? Majukumu yake Jeshini anatekeleza wakati gani

    Zanzibar, Kwa mujibu wa msemaji wa Yanga ndugu Ally Kamwe mchezaji wao wa kati Ibrahim Bacca ni mwanajeshi wa KM Zanzibar hivyo ameomba mashabiki wa Yanga waliopo kwenye vyombo hivyo siku ya BACCA day tarehe 02 , December 2023 waje kumsupport mwenzao na magwanda yao uwanjani Kwa mujubu wa Rais...
  12. Madumbikaya

    Timu za Tanzania na magolikipa Mapazia (Metacha na Manula)

    Kuna maswali huwa najiuliza hivi inakuwaje timu zetu zinakuwa na magolikipa mapazia halafu wanachaguliwa timu za Taifa na kudaka mechi za umuhimu Manula na Metacha hawawezi kutulia golini na wala hawana uwezo wa kuanzisha mashambulizi inakuwaje tunawapanga kwenye mechi za kimataifa iwe ligi au...
  13. Madumbikaya

    KInachopingwa ni Uwekezaji au Mkataba wa DP World?

    Sijasikia mtu yeyote akipinga uwekezaji bali kelele za watu ni vifungu vya kwenye mkataba Wajibu hoja wajibu vifungu vya mkataba na sio kujificha kwenye kichaka cha uwekezaji Uchambuzi wote wa akina Mwabukusi,Dkt slaa,TEC na TLS pamoja na Tundu Lisu umejikita kwenye vifungu vya mkataba kuwa...
  14. Madumbikaya

    Hospital ya Kitengule Tegeta ni Mashaka makubwa kwenye vipimo

    Wanabdodi, Nimewahi kwenda mwenyewe zaidi ya mara mbili kupata vipimo naambiwa huna kitu lakini napatiwa dawa za kutibu ugonjwa kwa makisio tu na hali huwa haibadiliki Gharama zao zipo juu sana lakini kinachofanyika kina mashaka makubwa Madaktari ni mabinti wadogo vijana sana lakini uwezo wao...
  15. Madumbikaya

    Je, Mbeya kuna hotel za kuwatosha wageni wa Nane Nane 2023?

    Wakuu mara ya mwisho nilifika mkoani Mbeya mwaka 2017 ,Sikuona hotel nzuri za kuweza kuwabeba waheshimiwa na mabalozi ,Na kabla ya hapo nimeishi hapo Mbeya miaka mitano Sijawahi kuona Mbeya ghorofa lenye floor zaidi ya kumi? Wakati huo story zilikuwa Mbeya ni volcanic area na kuna tectonic...
  16. Madumbikaya

    DP World ni hofu ya Mabadiliko, Rais Samia kaza mwendo

    Hofu ni mambo yasionekana bali ni dhahania tu yanaweza kutokea au kutotokea Taifa haliwezi kukwepa uwekezaji kisa hofu,Hofu huwezi kuikimbia bali unaweza kupunguza hofu Hatuwezi kuwaogopa Dp World eti kisa waarabu ,Wakifika tutaishi nao na kuwazoea tu Wazungu Afrika kusini walikuwa na hofu na...
  17. Madumbikaya

    Hivi mfanyakazi anaweza lipa kodi PAYE kwa hiari?

    Kwa Tanzania bila kutumia nguvu au kukata kodi kwa lazima hakuna ambaye yupo tayari kulipa kwa hiari Ukiwauliza wafanyakazi kama kodi ya Pay as you earn(PAYE) ingekuwa unapeleka mwenyewe baada ya kupokea mshahara ,Ni wafanyakazi wachache sana wangepeleka kodi kwenye mamlaka Kariakoo hata...
  18. Madumbikaya

    Jaji anaficha historia ya Bernard Membe. Je, tumuamini Mzee Mohamed Said kuwa Historia ya Uhuru iandikwe upya?

    Jaji wa Mahakama Kuu anaamua kuficha historia ya Membe kwa kuacha kusema alikuwa mwanachama wa ACT na aligombea urais, kwenye ulimwengu wa kidijitali ambao taarifa zinatunzwa jaji anajaribu kuficha ukweli Mzee Mohamed Said amekuwa akisisitiza sana kuwa kuna makosa makubwa historia ya hii nchi...
  19. Madumbikaya

    Samsung s20+5g haikubali software update kwa kutumia Mobile data ?

    Nimekuwa mtumiaji wa samsung kwa muda mrefu lakini miaka miwili iliyopita niliiweka pembeni simu yangu ya zamani Samsung s20+5g sikuitumia kabisa baada ya kujiunga kwenye simu za ulimwengu mwingine ambazo ni powerful lakini hazina majina Leo nimeiwasha samsung s20+5g inanihitaji nifanye...
  20. Madumbikaya

    Tundu Lissu alionya kuhusu Madini, Bunge lakiri Serikali inadaiwa na Makampuni ya madini

    Hayawi hayawi sasa yamekuwa,Tundu lissu aliwaonya serikali kuhusu mikataba ya MIGA lakini wabunge wa ccm pamoja na serikali walimuona Tundu lissu sio mzalendo Bunge lile lile na watu ni wale wale kupitia kwa Prof Mkumbo ambaye ni mbunge wa ubungo wameanza kulalamika kuwa serikali inaingia...
Back
Top Bottom