Inaumiza sana kuona kijana akirandaranda mtaani bila kazi tena mhitimu wa chuo,kidato cha sita au cha nne bila kazi halafu anasema anapambana na umasikini. je kwa staili hii kweli tutaendelea hasa kwa vijana ambao ni taifa la leo na kesho? Shuleni ukienda ndio hakuna hata walimu wa kuwafundisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.