Wakuu nimekuwa nafuatilia huu mgogoro uliojitokeza kutokana na kero za Muungano kutotatuliwa mapema na naomba niseme kama kweli ikipigwa kura ya maoni kuamua kama tunautaka au hatuutaki wanaoukataa watashinda. Naomba wataalam mnaojua mambo ya economics mniambie hasara kiasi gani tutaipata kama...
Kwa mara ya kwanza leo Nape kaongea kwa vitu vya maana, kazungumzia kuhusu kubadili mfumo wa uongozi la sivyo kila siku tutafukuza mawaziri. Mfumo umewapa nguvu makatibu wa wizara nguvu kuliko hata waziri husika.
Huwezi kumlinganisha January na Zitto hata kidogo, mfano mdogo ni twitter. Wakati Zitto anakaribia followers 20,000 January hata 10,000 hajafika pamoja na kuwa na verified account.
Source: BBC
Scientists say the notoriously dry continent of Africa is sitting on a vast reservoir of groundwater.
They argue that the total volume of water in aquifers underground is 100 times the amount found on the surface.
The team have produced the most detailed map yet...
Wanajamvi naona Edward Lowassa kafungua njia kwa wabunge wa CCM kuzidi kumwagika kwa TB Joshua kuombewa.
Leo kupitia Emmanuel TV inayomilikiwa na Synagogue Church la Nigeria nimemuona Mbunge wa Ngara kupitia CCM Mh. Deogratias Ntunkamazina akifanyiwa maombi maalum akidai kwamba ana matatizo ya...
Si nilisikia TTCL walikuwa wanataka kumpa kazi? iliishia wapi?
Anyway hongera zake jamaa ni mchapa kazi sana ingawa kuna watu wanadai ni mzinzi lakini what matters ni mtu wa kazi na sio mjivuni.
Nakuunga mkono kabisa kaka.
Mimi mwenyewe kila jioni ikifika lazima tupigiane simu na baadhi ya friends tunachagua sehemu gani ya ku-hang out, ingawa situmii pombe nawaona watu wengi wanaolazimika kunywa bia ili ku-buy time hadi ifike saa tano au sita warudi kulala. Asikudanganye mtu hata kama...
Huyu si ndo yule mwendawazimu aliesema amepata kampuni itakayokuja kuleta teknolojia ya kutengeneza mvua kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji na kujaza mabwawa ya umeme toka Thailand?
Mwizi tu huyu.
Kusema kweli mimi sielewi kwa nini upate mhemko ukimuona mdada kaacha kitovu nje.. ni tamaa tu, jifunze kuzitawala.
Suala la mavazi tuliache kila mtu awe na uhuru ilimradi dress code inazingatiwa maofisini, nyumba za dini na maeneo mengine husika lakini kama ni mtaani kila mtu aachiwe achague...
Wazungu bhana.. eti anajifunza kiswahili kwa tape.
Angeenda kwa Ras Simba pale Tandale uzuri jamaa ana uwezo wa kufundisha kiingereza kwa wiki 6 (kwa mujibu wa bango lake), nna uhakika kiswahili huyo prince angefundishwa ndani ya wiki na angeweza hata kwenda ku-bargain bei kwa wale machangu wa...
Sheria zetu za uwekezaji tumezirahisisha hazina tofauti na kuingia guest za uswahilini kupiga short time na kusepa.
Hii nchi bila ma-jobless kuandamana kudai ajira, hakitaeleweka. Namaanisha wale wote waliomaliza vyuo miaka iliyopita na hata wale walioachishwa kazi kimizengwe na mpaka sasa wako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.