Nimekuta wadau wa magari wanabishana kuhusu ubora wa hizi gari pendwa za off road aka gari za pori.
Nani mkali kuanzia Bei ikiwa mpya Au used, Maintenance, resale value nk.
Binafsi naona LC 70’s ni gari ya uhakika kwa wapenzi wa off road.
Wadau hizi gari unaweza kupata kwa bei gani kuanzia mwaka 2002 mpaka 2007.
Nimewahi kusikia kwamba unaweza kupata kwa bei nzuri kwenye auctions za NGOs ama Serikalini.
Mwenye kujua naomba info zaidi.
Shukrani
Heshima kwenu Wakuu! Hapa kati nimejichanga kama $ 13000 hivi nikaona sio mbaya nitafute SUV kwa ajili ya Safari za Porini hasa siku nimeamua kutembelea mbuga za wanyama.
Katika Pita pita zangu mitandaoni nikaona hizi gari Land Rover Discovery 2. Kuanzia mwaka 1999 mpaka 2004 kama sikosei...
Huyu ni mmoja ya kati ya wanamuziki bora zaidi wa kiume wa miondoko ya Zuku kuwahi kutokea katika hii dunia.
Embu tujikumbushe kidogo na hii ngoma yake Inaitwa Ng’e. Btw wale watoto wa bongo flavor sikilizeni hii ngoma alafu mlinganishe na muziki wa sasa wa wavaa suruali chini ya makalio.
Wadau Kwema?! Samahani kama kuna mtu anafahamu wa hizi gari. Kuanzia Uimara wake, Ulaji wa mafuta, upatikanaji wa Spear zake, comfortability yake n.k.
Nna mpango wa kuagiza kutoka Japan so kama kuna mtu ameshawahi kuitumia sio mbaya ukashare experience yako kuhusu hii gari.
Ahsanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.