Kumbe ujanja kwako ni kuolewa au? Unapilamamikia kutoa ina maana unataka ukae upande wa kupokea... na huko ni kwa mke... hebu fikiria vizuri mjomba. Hayo ni mawazo hatarishi.
Nimekuwa nikiona picha za familia mbalimbali na pale ambapo mmoja wao ana sura au mwili usioumbika vizuri unakuta karibu watoto wotee wanafana na yule mbovu, na yule mzuri anakuwa hajaambulia kitu.
Mtu anakomba mpaka kucha, vudole, size ya mguu nk.
Hii ni kwanini wadau ?
Kila mtu kabeba ujinga wa kwao na huu ulioandika ni ujinga wa kwenu. Kwenu sio kwetu. Sio kila mtu kakuzwa na mlenda. Acha kujisifu na mlenda. Wengine wamekulia supu ya ng'ombe, kuku nk. Na hao wasemeje?
KILA MTU NI SAHIHI KWA MAKUZI NA MTIZAMO WAO. PUNGUZA MATUSI. HUYAWEZI.
Hotuba ya askofu malasusa iliashiria haya kwa kudai wachungaji wanajifanya wakubwa kuliko kanisa. Ipo shida kubwa kwenye diosisi ya madhariki na pwani na majimbo yake. Wapo watumishi wadogo kama parish worker ila wana nguvu hata kwa wachungaji kwa mahusiano yao na viongozi kwenye majimbo na...
Nimekuwa nikisikia matamko ya wenye mamlaka kwenye sera, miongozo na watoa fedha kwenye sekta ya elimu nashangaa.
Bado utasikia wapo wanafunzi wa msingi na sekondari wasiojua kusoma na kuandika.
Wanaotoa fedha unasikia wakijisifu kujenga madarasa. Hongereni.
Mimi huwa najiuliza, hivi mfuma...
Ukitaka kujua moshi/kilimanjaro inadidimia hebu angalia hali ya majengo ya serikali kama yana kidhi idadi na ubora ukifananisha na mikoa mingine. Mfano majeno ya polisi, mahakama, zahanati, vituo vya afya, nk. Ama havipo na ni chakavu mnooo.
Hata vingi vilivyopo haswa katika afya sio vya serikali.
Kwani serikali imesema ni swala la kutokamilisha masharti ya usajili ambayo huyo suguye unayesema hahusiki alisign?
Umeongea saaana kama kanisa hilo limeota tu. Kuna aliyelisahili na ndie atakayewajibika. Unajua alisign nini huko kwa msajili? Kwanini yeye kanyamaza? Analijua kosa lake. Wapambe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.