Hii ni sawa kununua kitu cha mia sita, unatoa buku na muuzaji akikuuliza 'una shilingi mia unipe nikupe mia tano'. unamwambia tu kata huko huko kwenye buku yangu! ANAWEZA KUPA MIA TANO??
Yaani mbaya wangu amejileta mwenyewe porini?! Opportunity presenting itself, tena nini sasa. Mapema kabla ya hata hajasema ameona nimeua. atasemea kwa Sir God!
Unafikiri nyie wazazi mtaona mabadiliko yoyote!!?
We kaa na watoto wako wote na uwaulize swali hili "Mnafikiri baba/mama anampenda nani zaidi?" Jibu litaonesha mmoja wao ana kura nyingi.
&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br /><br />
Mbona tunazungushana sana! Ujinga gani huo mnaouongelea? Maana naona tu kila sentensi ina neno ujinga, ujinga, ujinga,....., Acheni huo ujinga tupatieni jibu mbadala basi, au huo ujinga siyo kiungo katika mwili wa...
<br />
<br />
We wa ajabu sana, tabia zako za ujivuni hujaacha kumbe??!!!
We unawachukulia teksi watu hawana hata Tsh. tano?!! NA unaonyesha hukupanga hata kuwatoa.
Ungewapa hiyo 14,000 wangegawana na kupanda daladala mia tatu.
Ndo maana ulipoteza pesa na jua walikumind kinoma huko mbele!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.