Ninataka kuagiza gari aina ya Suzuki jimny, ikifika niikate iwe kama pick up.
kwa yeyote mwenye uzoefu na garage nzuri inayoweza kuniundia anisaidie mawasiliano.
habari wanajamii wezangu,
ninahitaji kujua ni sehemu gani wanauza mashine za kuranda mbao na ni kwa bei gani Jijiji Dar, uwezo wake na ipi ni bora zaid kwa kuanzia biashara hii!
matumizi yake ya umeme inahitaji 3 phase au hata huu wa kawaida, mwenye kujua zaidi kuhusu biashara hii naomba anijuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.