Sio kweli mzee...nadhani kama umeshawahi kuagiza gari utakutana na hali tofauti unisikilize stori za kijiweni mimi nakwambia nimenunua gari mpya na used na zote nakuta spare keys sehemu tofauti
Mimi kwa sasa natumia yenye valve matic engine siwezi kusema nibaya kwa kua hazijanipa shida ila ina nguvu sana kwa sababu valve matic ni kitu kinaongezwa kuipa nguvu gari kama ilivyo turbo...engine zenye valve matic ni kuanzina cc1790 ambayo ukiwa kwenye highway inakupa matumizi bora sana ya...
Nimeona gari nyingi ndogo sasa hivi zinatumia hii engine ya valve matic na zikiwa na cc1790 kuhusu ubora wanasema ni nzuri zaidi ya VVTI ila tunahitaji kwa mtu aliyeitumia hasa labda alete ushahidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna lolote halotel kwa dar sasa mtandao ni wa sehemu zote au ni mtandao wa mtaa kwa mtaa.kama wanataka kutoa huduma wahakikishe kote kunakua sawa labda kama unatoka nje ya mji
Basi itakua nchi nzima sasa kwa hapa dar mwanzoni ilianza vizuri sana ila siku zinavyozidi kwenda network yao inapungua nguvu sa ivi natumia voda 4g iko poa sana halotel sitaki tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.