Sasa tuwasaidie vipi hawa ndugu zetu jamani. Yani mafisadi wameshaingilia direct uchumi wa maskini wafanyakazi pia, yani hata nashindwa kuelewa hii nchi ni ya aina gani? Ina maana hili pia tutalinyamazia na kuishia kupiga kelele tu? Lets take action please, najua watu humu wanaweza kuitoa hii...
Ever heard of someone with unnecessary hard feelings? Go Mwafrica wa kike,some people just need to be ignored, attention seekers!If we really need to compare you and MWK's contribution to lowassa's downfall you wont stand a chance.Sometimes its better to be silent.
Kwa waliosikiliza hotuba ya Dr Slaa bungeni jana watakuwa wamesikia akimtaja huyu mama (correct me kama nimekosea jina)Kwamba anahusika na process fulani za mikataba kusainiwa. Kama kuna mtu mwenye information zaidi aziweke tujue role yake na yeye maana Slaa mpaka kamtaja kwamba amesahauluka...
Jamani kuhusu swala la mwanasheria mkuu, dont you think its time hizi post wapewe watu waliosoma currently, nikimaanisha kuna watu wengi competent waliosoma sheria miaka hii na wanakosa ajira kwa kubaniwa na hawa wazee waloisoma miaka ile na wanaongozwa na mawazo ya wakati ule kiasi kamba...
Shame,shame, shame,
Yaani jana nilipokuwa naangalia tv report ikisomwa nilikuwa nasikia baridi. Aibu gani hii, lowasa katoa macho hana aibu kama kibaki.Yani asipojiuzulu sijui ni bora mtu ajilipue tu karibu na yeye tumsahau.Jk kibarua kigumu hiki sasa, n its time to show us that you are the...
Can something be done about this? Seriously we dont understand this language, ni uharibifu wa kiswahili na its not funny at all. I think i am not the only one who hate this. Tuwe serius, kama mtu unataka utani kwenye nenda kandike kule kwenye jokes aina hii ya lugha si kila sehemu.
Mama lao,
Wanaume wana visa we acha tu, yani wasichana wakifaulu eti wameiba paper. Hii inaprove wanawake wakiamua ku utilize mind zao, they are even better than men. Braaaaaaaaaaavo St Francis,
Ibra,
Hivi vita kweli kweli, wanaume nao siku hizi kwa kutetea haki zao si mchezo. Wanawake walienda beijing kuzindua sasa sijui wanaume nyie mlikutana wapi. Anyway i expected this, si unajua tena aguswaye hushtuka. BTW Mugongomugongo yuko wapi? Guys no offence ni mtazamo tu na kila mtu ana wake,
Du, yani nimecheka sana. 4give me G29 my luch was perfected by this,nimekumbuka ukiona mtu mzima analia mbele za watu...Kwanza wachangiaji wanakupoteza tu, you know how to do it better. Go it wasnt me style n i can assure you she will never trust you again. As a woman , kama ningekuwa mi ndo...
Bila shaka mtoto yuko kwa Mungu sasa. May the soul rest in peace. Hebu tuangalie upande mwingine wa shilingi, unaweza kuta ni kweli pia kwamba kwa hasira za kutolipwa mshahara huyo binti kaamua kumkomoa mwajiri wake considering the age (adolescent)aliona ndo suluhisho. Sitaki kumtetea wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.