Kwakifupi jamaa ndio kaolewa na huyo mwanamke, halafu jamaa yako mbona kama hajakamilika kuwa mwanaume? ndio maana anadharauliwa kiasi kwamba mwanamke ameweza hadi kufanya hivyo!
Hii comment imenifanya vitu vingi vipite kichwani na kunipa tafakuri mpya.
Kuanzia leo, google ndio atakua fundi wangu namba 1 halafu hawa mafundi wa kibongo watakua watekelezaji tu.
Mkuu uko speed sana hadi tangazo linakosa sifa ya kuwa tangazo, tulia weka details muhimu kama mwaka wa gari, saizi ya engine, petrol au deasel, manual au automatic? N.k...
Hiyo hilux hapo umeweka picha mbili tofauti ya mwaka 90 na mwaka 2017....
Tulia vuta pumzi nyingi halafu itoe taratibu...
Nenda kariakoo utapata andaa 260k kwa pixel 4a 5G.
Au lete 300k nikupe hii yangu, ipo na box lake na charger yake, shida yake haisomi line baada ya ku-update to android 14. Lakini inafanya kazi kama kawaida, internet unaingia kwa WiFi
Mkuu yaani umenisemea mimi kabisa, mimi matatizo yote hayo yapo pia likajitokeza tatizo lengine yaani sim card haisomi. Ukiweka line inaandika sim card is locked.
Kwasasa nimeiweka kabatini kwanza, ni pixel 4a 5g
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.