Hiyo inatokana na kemikali ziitwazo melanin kama nilivyoeleza hapo kwenye mada pekee wenye kemikali hizo basi watakua na ngozi nyeusi
pia kwa wale wasio kua na kemikali hizo kwenye ngozi zao pia huweza kuwa na rangi tofauti na nyeusi kwenye ngozi zao ukitoa sababu za kimazingira hasa watu...
Salaam ndugu wa jf
Natumai wote ni wazima huku tukiendeleza gurudumu la maisha mbele
Bila kichelewa naomba niingie moja kwa moja kwenye mada husika kama kichwa cha habari kiilezavyo
Hii ndiyo asili ya mtu mweusi kisayansi,,tafiti za kisayansi hasa katika masuala ya rangi katika race mbali mbali...
Be reasonable,, be accurate,,be wise and open minded,,observe every detail dont give hasty decisions,,use your common sense bro
Dont be single sided thinker
Then utayaona mabadiliko kwa muda mfupi sana baada ya kufuata hizo principles
Sent using Jamii Forums mobile app
natumai wote ni wazima hapa jukwaani
bila kuchelewa naomba niingie kwenye point
hapo nyuma kwenye mwezi wa 10 nilinunua simu aina ya iphone 6plus kwa mshkaji katika process ya mauziano jamaa litoa icloud yake tu ila hakureset simu
sasa baada ya kutumia huku nikiwa nimeshasign in kwa icloud...
Mama Sky Eclat nahisi hujanijibu kama ilivyotakiwa au inawezekana hujanielewa yani namaanisha walikombolewa kwa njia ipi?? Ndiyo kitu ninachotaka kujua
Mama Sky Eclat unaweza kudadavua hao wahispania walikombolewa kivipi katika hiyo vita ya msalaba kwamba waliuawa au walipewa neno la kweli wakawa wakristo embu dadavua kidogo tupate maarifa
gospel of barnaba iliteketezwa mkuu so nilikua na maswali mengi kwanini iteketezwe na karatasi mbili pekee ndizo zilizosalia moja kwa lugha ya kitaliano na moja ikiwa kwa lugha ya kispanish sasa mimi nashangaa baadhi ya watu wanakuja na misura kibao wakidai kua ndio injili ya barnaba wakati...
natumaini wote wazima ndugu zangu wa jf intelligence,
bila kupoteza muda naomba niende moja kwa moja kwenye kichwa husika cha mada
kwanza kabisa naomba kujua kwanini injili ya barnaba iliteketezwa ni karatasi mbili pekee ndizo zilizosalia moja ilikua imeandikwa kwa lugha kihispania na moja kwa...
Natumaini wote wazima humu jamvini
Bila kuchelewa naona niende moja kwa moja kwenye mada husika
Kwanza kabisa nianzie hapa kutokana na matukio mengi ya kigaidi yanayofanywa na vikundi vya kigaidi (al qaeda alshaabab isis taliban n.k) vinavyodai vinafanya hivyo kwa ajili ya allah/islam,,sasa...
Kujifanya kwako unajua kila kitu na kuamini unachoamini ni sahihi kwasababu tu moyo wako unaridhika pasi kuangalia na kujua upande wa pili basi ndiyo unazidi kua mjinga zaidi ya hao wajinga wa makka
Haya elezea na utupe ushahidi wa ukweli wa hayo maneno kama ni kweli ili nasi tuweze kuamini kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.