Naomba kuuliza ivi uki-apply kazi ni lazima uambatanishe transcript na cheti chake au cheti pekee kinatosha? Kwa wazoefu please msaada apo[emoji120][emoji120]
Hua selewi kwann nikichomeka hdmi ili nicheze pes kwenye tv nikiweka full screen inagoma goma ila nikiweka window mode inakubali shida ni nini graphics au shida nini?
Wataalam mnijuze hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hi, wana jf,
Natumia HP brobook 430, corei3 lakini nimejaribu kutafuta icon ya bluetooth siioni, nimetafuta mpaka basi lakin nikitaka ku-send naiona option pia ya bluetooth ipo ila nikijaribu kusend inagoma, kwenu wataalam naomben kujua shida nini na nifanye nini ili nipate bluetooth kwenye pc...
Hivi kwanini kila nikiomba kazii, sipati kuitwa hata kwenye interview hali ya kwamba vigezo ninavyo? Nakwama wapi waungwana hivi ukitoa academic vitu gani vingine muhimu vya kuzingatia pengine mimi sifanyi hivyo? Naomba wazoefu wa mambo aya wanipe ufaham kidogo.
Ahsante.
Sent using Jamii...
Sorry waungwana Niko nasoma chuo taasisi ya uhasibu DSM campus , lakini pamoja na hivo nimebahatika kupata kazi sehem so kulingana na hali halisi ya kimaisha nataka nisiache chuo nataka nisome evening class sorry kwa wale wazoefu naomba kujua ni vipi naweza ku-manage hivi vitu viwili kwa wakati...
Habar waungwana ivi kumbe kuna uwezekano wa mtu kusoma uhasibu bila ufaulu wa math's na akafanya vizuri kuliko waliofaulu math's, hii nimeandika baada ya mshikaji kupiga diploma ,degree then akaenda kupiga CPA na sasa yuko sehem anakula utawala kumbe pia inawezekana kua muhasibu mzurii bila...
Hivi hii kampuni ya Alliance Global ni kweli inasaidia kujikwamua kimaisha au ni utapeli unaotendeka pale? Kwa yeyote anayejua kuhusu ili anisaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kuna member anayeweza kunisaidia soft copy ya kitabu cha financial accounting 1 au kunielekeza wapi naweza kukipata naomba anielekeze au anisaidie kukipata "ahsanten"
Habari waungwana naombeni kujua App nzuri kwa kudownload audio yoyote ile ninayoitaka. Mara ya kwanza nilikuwa natumia Vidmate ila sasa hivi naona ishaanza kuzingua.
Ahsanteni.
Habari wanaJF.
Sorry naomba kuuliza, hivi huwa kwenye nafasi za kazi mwajiri huwa anaangalia sana vitu gani mpaka aweze kumuita mtu kwenye interview? Maana yake kuna chalii wangu hakufanya vizuri Form Four alienda kusoma Certificate akapiga na Diploma akapasua vizuri, yaani kila kitangazo cha...
Habari wanajf sorry naomba kuuliza kati ya NMB na CRDB upande upi una afadhali kwenye makato ya mwezi na makato wakati wa kufanya transactions?
Bora NMB au bora CRDB?
Habar waungwana naomba kujua kwa yeyeote mwenye experience na hii ishu ,swali langu ni kwamba asilimia ambazo mwanafunzi anapewa akiwa mwaka wa 1 zinaweza kubadilika akiingia mwaka wa 2? Mfano mtu mwaka 1 kapata 20% mwaka unaofata kuna uwezekano wa % kuongezeka au kupungua??? Kwa mwenye...
Habari wanajf, Nina hp probook 340 nikichomeka HDMI inaonesha chenga chenga nikiwa nacheza game pes 17 lakaini nikiangalia movie inaonesha fresh , shida nini ili nisolve tatizo hilii, manake nataka kucheza game kwenye TV kupitia HDMI
Habar wana jf sorry Nina changamoto kwenye Instagram account yangu, yani mtu akinitumia message private ,I mean direct messege (DM) kila nikiifungua naambiwa mtandao uko chini hali ya kua mtandao uko vizurii sana kila Siku ivo ivo yan so naomba kama kuna mtu anajua namna gan naweza ku-solve hii...
Sorry waungwana naomba ushauri kati ya bachelor of accountancy na bachelor of accounting and finance ipi kati ya hizo iko poa zaidi. mawazo yenu ni muhimu kwangu ahsanten[emoji288]
Waungwana kuna anti virus naitumia kwenye PC yangu inayoitwa smadav nimejaribu kuscan naona naletewa ujumbe kama huo apo kwenye picha , lakin nikijaribu kufix hii ant virus inazingua naomben mwenye kujua anti virus nzuri ya kutumia kwenye PC ahsanten
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.