Sijui unachokisema hapa kama ni sahihi inabidi chama kiangalia sana kwa makini maana tulikuwa tunategemea 2015 kuingia ikulu lakini kama ni mwenendo huu IIKULU kwa chadema itaka historia.
Hii sheria haifai hata kidogo maana waajiri wa private sector wanaajiri kwa mkataba baada ya mkataba unaweza kuachishwa kazi au kuendelea. pia watu wengi wanafanyakazi kwa malengo baadaye wanajiari wenyewe je utasubiri mpaka miaka 55 au 60 ndo upewe haki yako?
Mimi naona tunatoa hukumu mapema angekuwa mgeni kutoka nje ya nchi nadhani mambo yote haya yasingetokea angalieni mambo mengine yanayotokea watu wanachukua kilaini mfano angalieni madini hakuna hata faida kwa waTz.
Huyu ni kijana wa TZ kama ana nia njema ya kufufua UDA mimi sioni tatizo. Pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.