Search results

  1. Shigganza

    Uchaguzi 2020 Profesa Kitila Mkumbo atangaza kugombea Ubunge 2020

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Kitila Mkumbo Kupitia Akaunti yake ya Mtandao wa Twitter Ametangaza katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa Kufanyika Oktoba Mwaka huu. Uamuzi huo ameutoa wakati akijibu swali lililoulizwa na Mwandishi wa Habari Ezekiel Kamwaga. Hata hivyo hajabainisha jimbo...
  2. Shigganza

    Tanzania yashika nafasi ya 13 kwa Ubora wa Demokrasia Afrika

    Gazeti la the Economist la Nchini Uingereza kupitia idara ya Economic Intelligence inayoshughulika na tathimini ya masuala ya Demokrasia Duniani, kwenye ripoti ya Mwaka 2019 ya tathimini ya Demokrasia, Tanzania imeshika nafasi ya 13 kwa Afrika na 95 Duniani. Kwa upande wa Nchi za jumuiya ya...
  3. Shigganza

    Trump hakuitaja Tanzania kuwa ni miongoni mwa Nchi zitakazoongezwa kwenye travel ban

    Nimeona vijana wengi hasa wa Upinzani kwa maksudi kutokana na Chuki binafsi, ushabiki wa vyama na ufahamu hafifu wanapotosha kwambaTRUMP ameitaja rasmi Tanzania miongoni mwa Nchi saba zitakazo wekewa vikwazo kwa Raia wake kuingia Nchini humo. Usahihi wa habari: Rais wa Marekani DONALD TRUMP...
  4. Shigganza

    Kinachoitwa uchaguzi wa CHADEMA ni maigizo na kiini macho cha Demokrasia

    Katika uga wa taaluma ya sayansi ya Siasa moja ya viashiria vya uchaguzi kuwa huru na haki ni kuwepo kwa Wagombea wenye Sifa na Nguvu sawa au zinazokaribiana. Kinadharia CHADEMA imekuwa ikijipambanua kama Chama chenye Demokrasia kuanzia jina lake, ni katika muktudha huo ilitarajiwa na...
  5. Shigganza

    Yaliyojiri Mkutano wa waandishi wa habari na wakurugenzi wa TRC na NHIF

    YALIYOJIRI LEO DESEMBA 12, 2019 KWENYE MKUTANO WA MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA RELI TANZANIA (TRC), MASANJA KADOGOSA NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU MAFANIKIO YA TAASISI HIYO KATIKA MIAKA MINNE YA SERIKALI YA AWAMU YA TANO #TRC ilianza kazi rasmi mwezi Machi 2018 na iliundwa kupitia Sheria Na...
  6. Shigganza

    Mdude hana sifa za uongozi, hafai kuwa mwenyekiti wa Bavicha, abaki kuwa mwanaharakati tu

    Mimi namuona Mdude akiwa jela na kwa kuwa tabia ni kama ngozi simuoni mdude kubadilika kutoka katika hulka na haiba zake zile Naiona Bavicha Kufanya uchaguzi wa marudio kama Mdude atakuwa Mwenyekiti wao maana kama Hata kuwa Jela sijui Kumpatia Mdude Uenyekiti ni Risk kubwa kwa baraza la hawa...
  7. Shigganza

    Ushauri: CHADEMA iige utaratibu wa CCM nafasi moja mtu moja ili kutoa fursa kwa wanachama wengine

    Wakati Chadema kinaendelea na uchaguzi wa Ndani wa viongozi wa kitaifa, asilimia kubwa ya walioshinda katika nafasi za uenyekiti wa kanda wanakofia mbili ya ubunge na hiyo ya wenyekiti. Naona faida nyingi kwa Chama hicho kikibadili kanuni za uchaguzi kwa kuweka kipengele kitakachozuia...
  8. Shigganza

    Dkt. Bashiru: Nina barua za wabunge wa upinzani wanaotaka kuhamia CCM. Wapinzani wamekimbia siyo kujitoa

    Katika mahojiano yaliyofanyika kupitia kipindi cha Konani kinachorushwa na ITV, Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema chama hicho kitaendelea kuwapokea viongozi wa vyama pinzani. “Tutaendelea kupokea vigogo kutoka vyama vya upinzani, hatuwezi kuwanyima uhuru wa kuhamavyama...
  9. Shigganza

    Samson Mwigamba: Zitto ajiandae kupambana na Seif, hana hadhi ya Magufuli

    KALAMU YA Samson Mwigamba Zitto ajiandae kupambana na Maalim Seif, hana hadhi ya kupambana na JPM QURAN Tukufu inasema alama za mnafiki ni tatu. Kwanza, akisema hasemi ukweli. Pili, akiaminiwa haaminiki. Na tatu, akiweka ahadi hatekelezi! Nimekaa na kufanya kazi na wanasiasa wengi tokea...
  10. Shigganza

    RC Makonda: Jiji la Dar es Salaam liko salama, wananchi msiwe na hofu

    Baada ya Tahadhari ya Usalama katika Jiji la Dar es Salaam katika maeneo ya Masaki na Msasani iliyotolewa na Ubalozini wa Marekani, Mkuu wa mkoa wa Dar amewahakikishia Wananchi kuwa hali ni shwari RC Makonda amesema Jeshi la Polisi linaendelea na kazi kama kawaida kuhakikisha watu wanalala...
  11. Shigganza

    Kampuni ya Mwananchi Communication Tanzania kununuliwa na Mzawa

    Nation Media Group of Kenya (NMGK) inayomiliki magazeti, television, Radio na digital Media katika Nchi za Afrika za Afrika Mashariki na kati imefikia makubaliano ya kuiuza Mwananchi Commuication Tanzania mchapishaji wa Magazeti ya Mwananchi na The Citizen kwa mfanyabiashara mzawa Jehangir...
  12. Shigganza

    Pio Pius: Wapinzani tunawapima kwa mambo mengi

    WAPINZANI TUNAWAPIMA KWA MENGI 1. Hatujasikia CHADEMA wakitenga siku ya kuwaenzi Mtei na Bob Makani wala CUF kumuenzi Seifu na Mapalala. Hata huko ACT hakuna mwelekeo watakumbuka hili. Ikiwa mnashindwa kuwaenzi waasisi wenu mtaweza kumuenzi mwalimu, kawawa na wenzao tukiwapa nchi? Hamuoni huu...
  13. Shigganza

    Kwenye suala la Burigi nasimama na uamuzi wa waziri na Serikali, tukosoe yenye tija na tuache upotoshaji

    Katika mitandao ya kijamii kuna mjadala mkubwa unaoendelea kuhusu uamuzi wa Serikali kupindisha Poli la Akiba la Burigi na kuwa hifadhi ya Taifa, baada ya uamuzi huo kn baadhi ya wafuasi, wananchama na viongozi wa vyama vya Upinzani Nchini vimerkurupuka na kudandia sanjari na kupotosha kuhusu...
  14. Shigganza

    Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha

    Spika wa Bunge, Job Ndugai amebadilisha msimamo wake kuhusu ujenzi wa mradi mkubwa wa ukanda maalumu wa kiuchumi wa Bagamoyo (Bagamoyo SEZ) mkoani Pwani akisema awali yeye na wabunge wenzake hawakuyajua masharti ya mradi huo bali waliangalia tu faida zake. Kauli ya Ndugai imekuja ikiwa ni siku...
  15. Shigganza

    Rais Ramaphosa amuahidi Rais Magufuli kwamba atachukua Walimu wa Kiswahili toka Tanzania

    Leo tarehe 26 Mei 2019, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt John Pombe Joseph Magufuli amekutana na kufanya Mazungumzo na Rais wa Afrika kusini, mhe. Cyril Ramaphosa Ikulu jijini Preteria. Katika Mazungumzo hayo pamoja na mambo mengine amempongeza kwa kuapishwa kuwa Rais wa awamu ya...
  16. Shigganza

    Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya simu ya Vodacom Hisham Hendi amerejea kazini wiki hii baada ya kesi ya uhujumu uchumi iliyokuwa inamkabili kuisha

    Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya simu ya Vodacom Hisham Hendi amerejea kazini wiki hii baada ya kesi ya uhujumu uchumi iliyokuwa inamkabili kuisha kwa kukiri kosa na kukubali kulipa. Ikumbukwe kwamba wakati Hisham hakuwepo kazini bodi ya kampuni hiyo ilimteua Jacque Marais kukaimu nafasi hiyo...
  17. Shigganza

    Katibu mkuu wa CCM: Wana-CCM halisi muwe hodari kukosoa chama na Serikali mkizingatia utamaduni na Mila za chama

    Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi Dkt. Bashiru Ally akiwa anaendelea na ziara ya kikazi mkoani Mwanza amewataka wanachama halisi wa chama hicho wasiokuwa Nyemelezi kuwa hodari kukikosoa chama na Serikali huku wakizingatia mila na desturi cha chama, utamaduni pamoja na maslahi ya Taifa, bila...
  18. Shigganza

    Kampuni ya Barrick Gold kununua hisa za Acacia ili kuweza Kutekeleza makubaliano na Serikali ya Tanzania

    Kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick Gold Corporation ambayo ni mwekezaji katika Migodi ya Bulyanhulu na North Mara kwa Ubia na Accacia imetangaza nia ya kununua hisa za kampuni ya Acacia kwa gharama ya dola za Marekani milioni 787. Uamuzi wa Barrick unafuatia kampuni ya Acacia kutotoa...
  19. Shigganza

    Baada ya mkutano wa Mdude CHADEMA na waandishi wa habari yafuatayo ni wazi sasa

    Baada ya kuusikiliza kwa umakini mkutano wa Mdude Chadema na waandishi wa habari hivi, mambo yafuatayo ni dhahiri: 1. Mpaka sasa bado akili ya Mdude haijawa sawa kumwezesha kutaja watuhumiwa kwa hoja zaidi ya mihemko na hisia zake na Chadema za siku nyingi kwa Serikali. Baadhi ya Mambo...
  20. Shigganza

    Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bandari (TPA): Bandari ya Bagamoyo ingefilisi na kuuza nchi

    Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Nchini (TPA), Deusdedith Kakoko ameeleza kwamba mradi wa ujenzi wa Bandari Bagamoyo haukuwa na tija kwa taifa na ungeenda kuifilisi na kuiuza Nchi kutokana na vipengele vya kinyonyaji ambavyo wawekezaji walitaka viwekwe kwenye mkataba na Serikali...
Back
Top Bottom