Search results

  1. M

    Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imekuwa kero kwa foleni yake, mamlaka ishughulikie

    Kwanza nianze kwa kuipongeza Serikali kwa kuanzisha kituo hiki ambacho kinasaidia maelfu ya wananchi hasa wale walioshindwa kumudu gharama kubwa za matibabu ya moyo huko ng'ambo. Ninafahamu mna madaktari wazalendo na wabobezi hasa katika fani hii Tena wengi wao wakiwa bado vijana. Tatizo kubwa...
  2. M

    Taa, Polisi na adha ya foleni barabara ya Sam Nujoma

    Kwanza nianze kwa kuipongeza Serikali kwa kukamilisha interchange ya Kijazi, (Dar kama New York). Sasa kuna hizi taa zimewekwa mpya kuingia kituo cha mawasiliano, naona zinaenda kurudisha foleni ambayo ilishaisha, naomba Tanroads wafanye utafiti tena wa hizi taa isije ikawa tunarudisha tatizo...
  3. M

    Yupo Mfanyakazi wa 1391, hamtaki tu kumtaja

    Nimefuatilia mijadala ya BOT na Mh. Rais, uzuri ni kwamba Ile hotuba imehaririwa kidogo ili tusimsikie aliyetajwa kuwa mfanyakazi wa 1391 ambae alipomtaja tu ilikuwa rahisi kwa maboss wa BOT kumtambua na kukiri kuwa ni kweli sio mfanyakazi. Lazima hilo ni jina maarufu. Tutajieni basi tumjue...
  4. M

    Tumalize chaguzi tuendelee na Hapa Kazi Tu

    Hizi chaguzi zinapaswa kumalizika ili watu waanze kuchapa kazi. Rais tunae tayari hizi siasa uchwara zetu hazitusaidii. Mara mtu kapigwa ngumi, mara kawekwa ndani, mara kamtukana flani. Come on, genuine tuache mambo ya ajabu ajabu.
  5. M

    Hivi hostel bubu za wanafunzi Dodoma ni nani msimazi?

    Nashangaa nyumba za makazi zimegeuzwa hostel katikati ya makazi ya watu. Bahati mbaya hao waliopangishwa ni kama vichaa. Wanapiga mziki na kupiga kelele mpaka saa nane usiku bila kubughudhiwa hali wakifanya jamii ikose usingizi. Ngoja tuone mwisho wake
  6. M

    Muda wa siasa umepita

    Mara na ni kajiuzulu and whatever shit, mliokuwa na ajira za Muda kupiga siasa et al, hiyo era imeshapita, concentarion ni kujenga nchi sasa. Maneno meeeeengi Hanna kazi, wapiga dili na nyinyi poleni sana. Hakuna hafla na vitu visivyokuwa na miguu wala mikono.Hapa Kazi Tu. Poleni sana JK Yukon...
  7. M

    Timiza: Mkopo siku saba, riba almost 30%

    Hawa jamaa wa Airtel na monopoly yao ya Timiza ni nouma! Wana-capitalize kweli kwenye ulofa wa wabongo. Yaani 30% riba in only 7 days, wizi?
  8. M

    Kukosea kwa mtamshi ya herufi, kuna changia sana kupoteza maana, hasa kwenye hizi siasa

    Napenda sana kazi udirector wa matangazo. Lakini nashangaa kuna wakurugenzi wengine wanachekesha sana. Hivi unaachaje tangazo linaruka redioni au kwenye TV mtu anatamka Lais badala ya Rais, au luhusa badala ya ruhusa? Shame, hebu jaribuni kujirekebisha, Hata kama mtu hajui, basi mkaririshe...
  9. M

    Najiuliza tu? Hivi wazee wa CCM hawamsikii Nape?

    Baada ya kuisikiliza na kuitafakari hotuba ya Nape akiwa Iringa nimejiuliza maswali lkn sijapata jibu. Hivi kwamba lowasa ana watoto ndugu jamaa na marafiki, Nape hajui? Kwamba ana wafuasi lukuki nalo bado halijui, na kama hajui je haoni? Kama Lowasa ha a sifa ya kugombea urais Si tume...
  10. M

    Ni kipi chakula bora cha mbwa?

    Wadau natafuta mtu anaeuza au animegee kidogo kafomula kakutengeneza chakula cha mbwa. super dog ya supermarket kama inazingia hivi
  11. M

    Hazina: Tunawaomba mtangaze tarehe ya malipo ya mshara ni lini? tutazoea tu

    Nimekuwa nikifuatilia tatizo sugu la kuchelewa kwa mishahara ya watumishi wa umma bila majibu. Ikumbukwe hapo awali kama miaka nane iliopita, payday ilikuwa ni tar 25. Lakini siku hizi tarehe 40 ni kitu cha kawaida kabisa. Mimi kama banker naiona faida ya bwerere banki wanayoipata through sim...
  12. M

    Awe EL, Membe, Slaa etc bado katiba si ya miaka 10

    Nimekuwa nikitafakari sana mnyukano wa katiba mpya na hasa muundo wa serikali. Ninachokiona ni poor timing ya hii katiba mpya kama kweli ipo. Nikionacho ni nyakati hizi tulizonazo ambapo tunaelekea kwenye uchaguzi next yr. Je hao mnaowaimba kila siku ambao wao wako katika maandalizi ya kutwaa...
  13. M

    Tandu ndani ya gari

    wakuu heshima mbele. Jana jioni nimewasha kakimeo kangu amboko mara nyingi huwa sikatumii nikatoka na wife mpaka sehemu, tukakaa mpaka saa moja hv. wakati wa kuondokw nikaingia na kuwasha gari nikaingiza gear narudi reverse ghafla nikiwa katikati ya main road naona kitu cha baridi kinanitambaa...
  14. M

    Mishahara kimya, kunani?

    Wadau kama kuna mwenye news za kutokulipwa mishahara serikalini mpaka leo, nasikia kuna baadhi tayari lkn wengine bado kuna wingu zito
  15. M

    What is a quation statement?

    Wanajamvi naomba mwenye uelewa wa hii kitu, hati ya onyo kabla ya kumshitaki mtu, je Sheria inasemaje na je ikawa umemshitaki mtu bila hii kitu what is the implication?
  16. M

    Baada ya kifo cha Dr. Mvungi, polisi mnatuambia nini?

    Ulale pema peponi ewe gwiji wa Sheria Dr. Mvungi! Baada ya rambirambi hizi nirejee kwenye ujumbe wangu. Kwa mwaka huu maeneo ya kimara, mbezi ya shamba na tegeta kume kuwa na wimbi la majambazi, la, hawa Si majambazi Bali vibaka wanatumia mbinu za hatari kuvamia nyumba, nasikia wanajiita kumi...
  17. M

    Ni lini Polisi walioenda sauzi kuwahoji akina Masogange?

    Nauliza tu, ili tuwajue wenye mzigo ule. Naona watu wameshafukuzwa, kina masogange wako jela, wenye mzigo ambao ni dhahiri shahiri wanajulikana. Kama kweli mnapiga vita drugs hii ni nafasi ya kuwaweka hadharani. else mnatupotezea air time zetu bureee
  18. M

    Msaada: kodi ya uchakavu kwenye magari

    Wakubwa heshima mbele, kwa anaejuaa kuhusu kodi ya uchakavu unapoagiza gari, najua inaapply kwa gari yenye zaidi ya miaka kumi na sheria inaongelea before the date to make it ten years, wanaposema date ni tarehe au mwaka? Kuna gari ya 2003 mwezi aw kumi na mbili, je regulations zinasemaje? Najua...
  19. M

    Vita ya kodi ya simcard ni ya wenye makampuni Si yetu, Stuka

    Kila mtu analalamika akitoka kodi hii ifutwe. Ukweli ni kwamba ukichukua hizi campaign za yatosha, kabang na Cheka umuhimu wa kuwa na masimu mengimengi umetoweka, simu yako moja unaweza piga tigo, voda, airtel etc kwahiyo kitendo cha kuwekwa kodi ya simcard it's obvious kila mtu ataepuka kuwa na...
Back
Top Bottom