Kutokana na kauli ya Dr.Mwakyembe, mimi nina mitizamo ifuatayo;
1. Nimefurahi kusikia kuwa hadi viongozi wakuu wa serikali wanafuatilia JF so tuendelee kuhabarika kutumia JF
2. Ni kweli humu ndani huwa kuna thread za kizushi- we kama unabisha bisha tu!
3. Kwa kauli ya Dr.Mwakyembe, Waziri /...
Nimeona clip ya Lusinde akiporomosha kampeni za mijitusi huko Arumeru kupitia You Tube, lakini pia nilisikiliza nyimbo ya Sugu kupitia You Tube, ki ukweli hawa jamaa waliporomosha Mijitusi lakini wote wakiwa na sababu zao binafsi za kufanya hivyo!!!!
Nikabahatika pia kusikia siku zote mbili...
I concur with you, na on top of that Hamad Rashid ana uchu wa madaraka, kumbuka miaka yote huko nyuma alikua anamsapoti Maalim na wakati ana madaraka Bungeni mbona alikua kimya, na hata kuingia ktk serikali "anayoita Kuolewa' na yeye anahusika big time, mi nadhani anafanya haya yote sababu kwa...
Wadau mimi siku za mwanzo nilipiga kura moja kutumia mtandao, lakini nikaacha sikurudia tena kwa sababu zifuatazo;
1. Kampeni hii kumbe ilianza muda mrefu sana(mwaka 2009) lakini hawa watendaji wababaishaji wamekuja kushtuka saivi mwaka 2011, tena ikiwa imebaki takribani mwezi mmoja tu, so...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.