Habari Wadau nilikua naomba kwa anayejua hints za ufugaji wa kuku nahitaji kununua vifaranga Vidogo vya broiler ndio nimesikia vinakua wiki 3 au 4 sasa shida yangu ni kwamba mabanda hayo hayo naweza nikayatumia hata kuku wakikua au kuna tofauti ya mabanda inabidi nifanye na gharama za ujenzi wa...
Habarini wana JF,
Nina mpango wa kufungua min supermarket hapa Dar sasa nilikuwa naomba kuuliza wapi naweza kwenda kupata bidhaa ambazo wengi wenye supermarkets wanaenda kuchukua na inakuwaje kuhusu expire date vitu huwa wanabadilisha?
Ushauri jamani naombeni maana nimejaribu kumuuliza mtu...
Wekeza kwenye saluni unafungua ya kike na kiume sehemu moja zinakuwa ni classic saloon zenye wadhifa ..mgahawa wa chakula unalipa pia it just depend eneo na ulivobuni eneo lako watu siku hizi wanapenda kula maeneo hata kama sehemu padogo lakini pavutie hata kwenye kiselfie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.