HABARI WANA JF!NA MEMBEZ WOTE.
maisha yana mambo mengi kwa kweli.unayo yajua,usiyo yajua na unayo yafikiria.kuna kipindi binadamu tunapitia mapitio ya hovyo sana na magumu mno.ima maradhi,shida na mateso, FURAHA na nk.ila Leo tuangalia tuliopitia maisha HAYA ya ZIRO BAJETI."nikisema ZIRO BAJETI...
Habari members!
Kila MTU anatamani au alipanga awe anavyo taka ima kimaisha wadhifa, kielimu nk.
BINAFAI nilipo kua mdogo nilitamani sana nikiwa mkubwa niwe mwalimu kwa sababu niliona mwalimu ni MTU muhimu sana katika jamii.
Huwezi kua doctar mpaka ufundishee na mwl
Huwezi kua rubani
Huwezi...
Maisha ni mafanikio, haijarishi umeyapata wapi na njia ipi kubwa mambo yaende kwa mtindo unao utaka.
Kira mtu ana namna ya kufikia malengo yake. Binafsi nimewai kuajiriwa, pia nimejiajiri.
Changamoto ni nyingi katika nyanja na lazma ukabiriane nazo.
CHANGAMOTO ZA KUAJIRIWA ni nyingi mno kubwa...
Habari wakuu,
Tukiwa tuna uaga mwaka, kuna mambo ya kujadiri haswa taswira na maendelea ya mikoa yetu tulioko au tuliko zaliwa au tunapoishi.
Mwaka huu nimejikuta nimekwenda mkoa wa Lindi kuliko mikoa mingine apa Tanzania mengi nimejionea zikiweno fursa, mazingira, mapungufu na mengine mengi...
Habari wana jamvi?
Kila kukicha watu hawaishi kulalama na kusikitika, na kusema kua hali ya maisha ni ngumu. Je? Ulisha jiuliza hali hiyo imetokana na nini? Je unajua chanzo cha hali ngumu ulionayo imetokana na nini?
Ukweli ni kwamba sisi wenyewe ndio chanzo
Mambo matatu yanatufelisha vijana...
Natumai tuko salama,baada ya kuishinda cvd19.
Huu usemi wa "masikini akipata matako hulia bwanda". Sijui unamaanisha nini?mtanifahamisha wahenga.
Ila ninachojua mimi, mtu baada ya kuishiwa pesa mipango inakuwa mingi. Tena anajua mpaka dili la buku kumi akipata afanyie nini ili siku zisonge...
Ama kwa hakika M/Mungu anatupigania haswa kwa maana wezetu waliopo katika sehemu mbalimbali wanaishi kwa hofu kubwa sana kutokana na hili janga la Coronavirus.
Kiukweli maisha yanaenda mbio sana, na changamoto ni nyingi mno, ambazo kila mtu anakutana nazo. Inawezeka wewe uko vizuri hujui haya...
Habari ya Jumatatu wana ndugu wote.
Niaze na kumshukuru Mungu kwa afya njema alio nijalia neema hii. Pia nimshukuru M/Mungu kwa kunipa mke bora na sio bora mke.
Kiukweli wanawake wana mapungufu mengi lakini sio wote. Wapo ambao wanajitambua na kujielewa kama ambavyo wanaume walivyo. Kuishi na...
Habari wandugu wote!
Duniani kuna mengi ya kustaajabisha na hata wahenga walisema"KUA UYAONE".
- Uwaone walimwengu
- Maajabu ya walimwengu
- Matendo ya walimwengu
KWA NINI WALIMWENGU NA SIO WANYAMA?
Sababu ni moja tu. Walimwengu ndio walio itawala dunia na kuendesha kadri waitakavyo na...
Habari wajuzi wa mambo ya tiba na ushauri, juu ya magonjwa.
Kiafya niko vizuri sana, kwa maana sina ninaposikia maumivu makali, isipokuwa nimepata hitilafu katika msuli wa mguu wa kulia nyuma ya goti. Umevimba na husababisha msuli kukaza pindi ninapoukunja na kuukunjua.
Hivyo, nimejaribu...
Habari wana jf.
Tumshukuru mungu kwa kua tuko na afya njema na tukiwa tuna uwaga mwaka 2019. Kiukweli hatufi ila chamoto tunakiona. Nikiwa mfanya biashara mdogo 2003/2003 nilikua nakua kwa kasi kibiashara, niliweza kuendesha biashara yangu vizuri kabisa.pia niliweza kujijenga kimaendelea kwa...
Habari wana JF,
Napenda sana kukaa na family yangu haswa siku ya Jumapili. Baada ya shughuli za nyumba kuwa zimeenda sawa huwa natenga kamuda kwa ajili ya kukaa na watoto wangu na mama yako. Tabia hii nimerithi kutoka kwa baba yangu ambayo anayo.
Baada ya maongezi ya hapa na pale, kupitia...
Habari wana jamvi!
Wandugu kuna taarifa nyingi tunakutana nazo katika maisha yetu ya kira siku, na kuzipotezea kama si kuzipuuzia kabisa.na zipo zingine zinaumiza rakini, mwisho wa siku unajifariji kwa kusema Mungu yupo ata nisaidi.
Ipi taarifa ambayo ilikustua na kukufanya uchanganyikiwe kati...
Habari wanaJF,
Najua kila mtu amewahi kuuguza ama ndugu,jamaa au rafiki. Kiukweli kila muuguzi anapenda kuona mgonjwa wake anapona au anapata nafuu lakini katika harakati hizi za kupambania kuimarika kwa afya kuna mambo mengi hujitokeza kwa mgonjwa na pindi uonapo hali hiyo jua siku zake za...
Hbr ya jion wakuu mbalimbali.tuaze na kumshukuru m/mngu kwa neema za uhai,na afya njema alio tupatia waja wake.tukiwa tumeuza mwaka na Leo January 6 2019.nimekumbuka mambo mengi sana yalio nitokea miaka kazaa nyuma ktk maisha yangu,mazuri kwa mabaya.pia nimejifunza mengi sana juu ya matukio...
Hbr wana jamvi.najiuriza kwa nini MTU hufikia kufanya maamuzi magumu kisa mapenzi?kuna nini ndani ya mapenzi mpaka kinawatesa watu?kuna siri gani ktk mapenzi kiasi ambacho MTU awaze kuvumilika,kusia,wala kuona juu ya mapenzi?
JIULIZE...??
IMANI YA KIROHO NA MAPENZI KIPI KINANGUVU?
Sent using...
Hbr wana jamvi.jirani yako ni ndugu yako wa karibu wahenga wanasema. nashukuru sana kua naishi vizuri na jirani zangu kiasi cha kuniamini na kunithamini.
Kutokana na kuishi nao vizuri tumekuwa tunashauriana baadhi ya mambo mbalimbali ya kijamii,kifamily na kimaendeleo.jpli moja nikiwa...
Hbr ya jioni dungu jamaa na marafiki.
Kiukweli maisha yanaenda mbio sana.tukiwa ktk harakati za ku uwaga mwaka 2018na Leo tupo ktk tar 17 nov, hii ni dhahili mwaka upo ukingoni.pamoja na masiku kukimbia kuna hari imejitokeza ktk jamii zetu.
UTAKUTA MTU ANA ISHARA ZOTE ZA...
Kiko wapi kipindi chetu pendwa cha bongo dalesalam ?pamoja na kufurahisha,pia kilikua kinatoa ELIMU,juu ya hawa mataperi wa mjini.bongo daresalama,kilipata umaalufu sana kilipo rusha hewani kipindi cha mkuu wa polisi akitapeliwa,na WAJANJA WA MJINI.bongo daresalam kiliwatoa watu tongotongo haswa...
Imani yangu tuko wazima.nikirudisha kumbukumbu nyuma miaka 36 iliopita,naikumbuka siku nilio katwa govi(kutailiwa)siku hii sito isahau kwa kweli.asabuhi niliona watu wengi nyumbani,niliuliza naambiwa kuna sherahe.hivyo basi uta chinjiwa kuku,utakula madafu nk.siku jari niliendele kutia fujo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.